Wakinamama wa kiafrika mmejaliwa ngozi na nguvu nyingi za kuhimili hata miaka, mkikaa vizuri, mkafanya mazoezi kidogo tu na kula vyakula sahihi (siyo chips na kuku) hata miaka hamsini bado mnabakia mnang'aa vizuri kabisaa! ngozi haijikunji, tatizo sasa lililobakia ni elimu. Much needs to be done on this!
age kitu gani bana its just a number
she looks sweet 16 still....