Wajue kina kaka wa Kinigeria wanaotikisa ktk ulimwengu wa movie-Nollwood

Wajue kina kaka wa Kinigeria wanaotikisa ktk ulimwengu wa movie-Nollwood

FirstLady1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
16,789
Reaction score
5,401
Ramsey Nouah
41896_ramsey_jpgac309fcdb423d6e08597816a0be05395

Sanni%20Azeez_99_ramsey.jpg

129536_ramsey_jpgac309fcdb423d6e08597816a0be05395
na family
Pat-Attar .
41897_patty_jpge58bc5db605ac6f1ae053541eca10297

2093_1pat_attah_jpg012ea5879fa96d77037afb921d4815f3


Jim Ike ( huyu sijui huwa ni gangstar vile alivyo mmh
jimIyke.jpg

jim-iyke1.jpg

Jim%20Iyke.jpg


Desmond Elliot
desmond_elliot_1.jpg

2557183_f520.jpg



Pete Edochie -Kiboko ya njia
Pete-Edochie-Kidnapped.jpg


Van Vicker

van-vicker.jpg


thumb_copyright.aspx.jpeg


Chidi Mokeme
n1075614296_173222_1100.jpg

Nonso Diobi

nonso-diobi-bella-naija-sexy.jpg


more pics to come kuna mmoja namtafuta simpati ati
Emeka Ike
emekaaaaa.jpg

emeka.jpg
 
hawa nao ni ma-handsome sijui ndo mambo ya mapowder ?
 
Van Vicker ametulia, hata katika action zeke yuko safi yeye na Ramsey. Kwa kweli wanavutia.
 
Afu watu waongo sana.Nishawahi sikia eti Ramsey Noah ni mume wa Genievevi Nnaji.Kumbe mke wake mwingine kabisa.
 
Pat has a look, yuko vizuri kwenye fani pia
Ramsey anaigiza vizuri pia....anafit sehemu nyingi anazocheza
Jim Ike ..."solder boy" hahaaa...am reserving my comments for now!!
 
hawa nao ni ma-handsome sijui ndo mambo ya mapowder ?
inaelekea unawazimikia sana wanaija mmh??but what,mimi hawa waigizaji mabishoo siwazimii,kama waigizaji wanaija ninaowazimia kuna sam loco efe,na osita iheme na chinedu ikedieze pia mr ibu,hawa mmh napenda kweli movie zao maana mbavu lazima zichomoke.😀
 
hawa nao ni ma-handsome sijui ndo mambo ya mapowder ?
Nakuaminia mamie. big up!
Huwa nampendaga sana Pete Edochie kwa jinsi anavyotulia kwenye nafasi yake. hababaiki wana hashitushwi hata kama kuna jambo kubwa kiasi gani.
Pole zake mke wa Ramsey, maana kama ana mawivu kama yale ya Pearl, kazi ipo.
Jimmy Ike wanampa sehemu ambazo mara nyingi huwa hajatulia, hii inanifanya nisimpende sana
 
efe.jpg
sam loco efe

MrIbu.jpg
osita iheme

front050205.jpg
chinedu ikedieze

hawa ndio wananiachaga hooi.
 
inaelekea unawazimikia sana wanaija mmh??but what,mimi hawa waigizaji mabishoo siwazimii,kama waigizaji wanaija ninaowazimia kuna sam loco efe,na osita iheme na chinedu ikedieze pia mr ibu,hawa mmh napenda kweli movie zao maana mbavu lazima zichomoke.😀

Sio yeye tu, ni wengi tunawazimikia wa9ja kutokana na movie zao zinazogusa maisha ya kila siku ya binadamu. Ufundi wao katika ku-act, episode/theme zao, na jinsi wanavyojua kuchagua ma-handsome na ma-beauty katika uigizaji. Sisi pia hatuko nyuma, tunajitahidi.
 
Sio yeye tu, ni wengi tunawazimikia wa9ja kutokana na movie zao zinazogusa maisha ya kila siku ya binadamu. Ufundi wao katika ku-act, episode/theme zao, na jinsi wanavyojua kuchagua ma-handsome na ma-beauty katika uigizaji. Sisi pia hatuko nyuma, tunajitahidi.
of course wanajitahidi,napenda kuziangalia pia,hasa zile wame act kwenye mazingira ya kawaida au ya kijijini hasa,thats my favourite,hizi za kitajiri tajiri ki gangster sizizimii kabisa,hasa jim iyke anani bore saana anavyo act,hata slang anayoongea kuigiza wamarekani lol,i dnt think this guy can real real act.
 
mbona mnamsahau Mr.Ibu ,bonge la handsome
 
mbona mnamsahau Mr.Ibu ,bonge la handsome
Muweke basi kigogo wako wengi kuna mmoja yaani huwa nikimuona lazima niangalie movie lakini jina sikumbuki kabisa
hebu kama unayasoma mawazo yangu mbandike hapo
 
Sio yeye tu, ni wengi tunawazimikia wa9ja kutokana na movie zao zinazogusa maisha ya kila siku ya binadamu. Ufundi wao katika ku-act, episode/theme zao, na jinsi wanavyojua kuchagua ma-handsome na ma-beauty katika uigizaji. Sisi pia hatuko nyuma, tunajitahidi.

Hatujitahidi chochote, aibu tupu. wenzetu vidato vimepanda, wengi hapa ni graduates vyuo vikuu. unapata hamasa kuangalia movie zao wachezaji wanatumia akili na elimu pia. Movie za kibongo sitaki hata kuziangalia, hasa ikishakua na english subtitle ndio usiombe, aibu tupu! jambo moja lisiloisha. mtu akianza safari toka kunduchi basi hadi atafika mjini unaonyeshwa mitaa yote. upuuzi mtupu!
 

Attachments

  • ibu-mr.jpg
    ibu-mr.jpg
    7.2 KB · Views: 423
  • Mr Ibu 2 S.jpg
    Mr Ibu 2 S.jpg
    13.2 KB · Views: 127
  • mr ibu-s.jpg
    mr ibu-s.jpg
    4.2 KB · Views: 94
  • Mr. Ibu.jpg
    Mr. Ibu.jpg
    8.9 KB · Views: 95
Back
Top Bottom