FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
inaelekea unawazimikia sana wanaija mmh??but what,mimi hawa waigizaji mabishoo siwazimii,kama waigizaji wanaija ninaowazimia kuna sam loco efe,na osita iheme na chinedu ikedieze pia mr ibu,hawa mmh napenda kweli movie zao maana mbavu lazima zichomoke.😀hawa nao ni ma-handsome sijui ndo mambo ya mapowder ?
Afu watu waongo sana.Nishawahi sikia eti Ramsey Noah ni mume wa Genievevi Nnaji.Kumbe mke wake mwingine kabisa.
Nakuaminia mamie. big up!hawa nao ni ma-handsome sijui ndo mambo ya mapowder ?
inaelekea unawazimikia sana wanaija mmh??but what,mimi hawa waigizaji mabishoo siwazimii,kama waigizaji wanaija ninaowazimia kuna sam loco efe,na osita iheme na chinedu ikedieze pia mr ibu,hawa mmh napenda kweli movie zao maana mbavu lazima zichomoke.😀
of course wanajitahidi,napenda kuziangalia pia,hasa zile wame act kwenye mazingira ya kawaida au ya kijijini hasa,thats my favourite,hizi za kitajiri tajiri ki gangster sizizimii kabisa,hasa jim iyke anani bore saana anavyo act,hata slang anayoongea kuigiza wamarekani lol,i dnt think this guy can real real act.Sio yeye tu, ni wengi tunawazimikia wa9ja kutokana na movie zao zinazogusa maisha ya kila siku ya binadamu. Ufundi wao katika ku-act, episode/theme zao, na jinsi wanavyojua kuchagua ma-handsome na ma-beauty katika uigizaji. Sisi pia hatuko nyuma, tunajitahidi.
Genevieve anatoka na D'Banj
ramsey YES
Muweke basi kigogo wako wengi kuna mmoja yaani huwa nikimuona lazima niangalie movie lakini jina sikumbuki kabisambona mnamsahau Mr.Ibu ,bonge la handsome
Sio yeye tu, ni wengi tunawazimikia wa9ja kutokana na movie zao zinazogusa maisha ya kila siku ya binadamu. Ufundi wao katika ku-act, episode/theme zao, na jinsi wanavyojua kuchagua ma-handsome na ma-beauty katika uigizaji. Sisi pia hatuko nyuma, tunajitahidi.
mbona mnamsahau Mr.Ibu ,bonge la handsome