Wajue mapacha kumi maarufu zaidi duniani

Wajue mapacha kumi maarufu zaidi duniani

4/Billy & Benny Loyd McCrary
a0bcae50d99cec9e86f21c19963e802d.jpg
261cd2559f27c06fcbddbb33bf21dcd0.jpg
8b4c30dde7a5ac2a230cc8a7e115fb5e.jpg

Walizaliwa Disemba 7 1946
Hawa ni mapacha wanaoshikilia rekodi ya kuwa mapacha vibonge zaidi kuwahi kutokea duniani
Walikuwa na uzito wa jumla wa Paundi 1468 (Kg 670+)
Mmoja alifariki wakati wakiendesha pikipiki ya pamoja(pikipiki pacha) mwaka 1979.....walipendelea kuendesha pikipiki
Mwingine akafariki mwaka 2001 kwa ugonjwa
Makaburi yao yamejengwa kwa kuyaunganisha sehemu moja
Hi ni baraa sasa kwapamoja walikua na kilo (kg 670+)
 
IMG_20180802_160909.jpeg
IMG_20180802_161011.jpeg
IMG_20180802_160932.jpeg

Enzi za SAF hawa mapacha walikuwa maarufu pale EPL
Kuna siku walimchanganya refa na kujikuta akimpa kadi asiyrstahili
 
9/Shawn & Aaron Ashmore
5ee6132a34dc5e28d47670201089e5e4.jpg
83d92135bea2d68809025d33eadea7ab.jpg

Walizaliwa Oktoba 7 mwaka 1979 nchini Canada wakiwa ni maoacha waliofanana kupitiliza
Wanapatikana zaidi kwenye kituo vha luninga cha ABC
Shawn alijipatia umaarufu kupitia X-men films wakati Aaron alionekana kwenye Warehouse 13
1cd1eb31cb223ef8e5e0c9de061134b4.jpg

Kisha wote kwa pamoja wakacheza muvi matata ya Smallville ambapo watu walishindwa kung'amua kwamba ni watu wawili tofauti
Kivp yn...sijakuelewa....kwamba ilikua akichoka mmoja anaingia mwingine au
 
7/Kin Narita & Gin Kanie
e762bedd9d62f895d1cfcae376282ff8.jpg
b68ed4621486565b08db85f912e4772e.jpg

Hawa ni mapacha walioweka rekodi ya kuishi miaka mingi zaidi hapa duniani
Hawa ni raia wa Japan waliofariki mwaka 2000 mmoja akiwa na miaka 107 halafu mwingine akiwa katimiza miaka 108
Mwaka 1992 wakati wanaadhimisha miaka 100 walizindua album waliyoipa jina la Gin Chan & Kin Chan ambayo ilibamba vilivyo huko Japan kwa akina Takuma na kuuza nakala kibao
Sasa ndo nn hiki.....yani mapacha afu mmoja ana 107 mwingine 108??
 
11. Ni mapacha Paula na Bridgette Powers wa Australia wenye uwezo wa kuongea kwa pamoja.
images%20(18).jpg
images%20(17).jpg
 
Sasa ndo nn hiki.....yani mapacha afu mmoja ana 107 mwingine 108??
Wewe ndiye hujaelewa mkuu
Mmoja alifariki akiwa na miaka 107 halafu mmoja baadaye akatimiza miaka 108 kisha akafariki
Yaani wnekufa mwaka mmoja lakini mwiezi tofauti
 
Last edited:
mkuu bitoz nafurahi sana umerudi tena,kazi zako ni kali sana endelea kutupa vitu vikali
 
3/Cameroon & Tayler Winklevoss
c8196ea7329a5c777a5801bc4c5a1144.jpg
e16e6ae3c28cf414928c9e85f6b4a3ef.jpg

Walizaliwa Agosti 21 mwaka 1981
Hawa ni wataalamu wa kubuni na kutengeneza tovuti yaani wapo vizuri kwenye Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA/ICT)
Ndio waliomshawishi na kumvutia Mark Zuckerberg kuanzisha mtandao wa Facebook baada ya kumpa wazo
13fa4cb29d2a7a34508f1e987d84fb9c.jpg
Pia wana kipaji cha kurusha mikuki na kuendesha mitumbwi na walishiriki pamoja katika michuano ya Olympic huko Beijing nchini China 2008
thanks bro hawa jamaa nawakubal sn kwa sasa wamejkita sn kwny masuala ya blockchain technology (CRYPTOCURRENCIES)
 
thanks bro hawa jamaa nawakubal sn kwa sasa wamejkita sn kwny masuala ya blockchain technology (CRYPTOCURRENCIES)
Sarafu ya kidigital !!
Mambo ya bit coin aliwahi kuelezea jamaafulani keamba wajanha wanewekeza huko
 
Back
Top Bottom