Wajue Mapepo katika maumbo ya Wanadamu

Yaani ukishakuwa mtu wa sheria sheria ni unapata tabu sana
Mara usisikilize hiki, mara usile kile, mara usiende huko, kuwa huru mkuu katika Kristo ili mradi usiwakwaze wenzio
Uhuru lazima uwe na limits na kiasi.
 
Habari yako imekuwa batili kwakuwa ina uongo.
Takwimu zinaonyesha kuwa wanaume ni wengi duniani kuliko wanawake.
Ingia Wikipedia, na mitandao yote mikubwa duniani inathibitisha hilo labda uniambie kuwa umezunguka duniani kuhesabu watu wote.
Hii ya wanawake ni wengi kuliko wanaume ni story za vijiweni.
Kwa ufupi hizi ni story za kutunga au zilizojaa illusion.
Tazama takwimu 👇👇👇👇
 
Ndo ninyi mmekaririshwa na wazungu kuwa Dunia ni duara kama chungwa!!

Yapo mengi hutoyafahamu, yamegeuzwa juu chini.

Usipende kumezeshwa uongo, nenda hesabu ukoo wenu ujue wapi wengi kati ya wanaume na wanawake.

Tanzania pamoja na kupika data lakini inaonyesha wanawake ni 51% ya population.
 
Hekaya za kutungwa na watumwa wa Kiyahudi walipokuwa Babylon nani kawaona jini,shetani au mapepo zaidi ya kuwa ni viumbe wa kufikirika.
Zamani Umasaini,Arusha watu walikuwa wanatishiwa kiumbe chenye mguu mmoja wa chuma akiitwa NAUNER sijui ameishia wapi 😁
 
Huna ulijualo,

Hivi sasa MAKAHABA katika casino kubwa kubwa ni mapepo kabisa yaliyovaa miili ya WANADAMU.

Endelea kupuuza, siku yakikukuta utarudi kushuhudia.
 
Kama hawana jinsia ilikuwaje wakawatamani mabinti wa wanadamu na kuzaa nao
 
Jiulize wewe jini madhabahu, Malaika wa Giza Wana JINSIA au hawana!!
Roho haina mwili wewe nawe u mtumishi wa Mungu wa namna gani kama hiko kitu kidogo tu hujui? Yesu alishasema "malaika hawazai wala hawaoia kwa maana hawana miili". Acha blah blah dogo.
 
Roho haina mwili wewe nawe u mtumishi wa Mungu wa namna gani kama hiko kitu kidogo tu hujui? Yesu alishasema "malaika hawazai wala hawaoia kwa maana hawana miili". Acha blah blah dogo.
Acha ujuaji,

Malaika wa Nuru, ndio hawafanyi mambo hayo,

Ila Malaika wa Giza wanazaa na wanadamu Hadi hivi Leo.

Waulize Islam, wanajua vizuri mambo hayo.
 
Acha ujuaji,

Malaika wa Nuru, ndio hawafanyi mambo hayo,

Ila Malaika wa Giza wanazaa na wanadamu Hadi hivi Leo.

Waulize Islam, wanajua vizuri mambo hayo.
Wanazaaje wakati hawana miili ndio maana wanaishi kwenye miili ya viumbe kama Binadamu, wanyama na kwenye miti? Acha uongo dogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…