Wajue Mapepo katika maumbo ya Wanadamu

Tafuta Maarifa Ukiwa hai!!

Ubishi hausaidii chochote.
Hizo blah blah tu. Roho haina mwili na roho haina jinsia. Malaika wala mapepo hayazai, hayaoia wala hayaolewi kwani hayawezi kuishi/kukaa nje ya mwili.

Yesu aliye maarifa na hekima yetu katuambia na kutufunulia hilo. Hakuna maarifa mengine zaidi ya kumjua Kristo.
 
Nasikitika maana wanaoa na kuolewa na wanazaa...

Hivyo wapo kama binadamu...

Aisee...!

Mungu tusaidie tuone kwa macho ya Rohoni maana ya mwili yanadanganya.
Usikute unaweza kuwa hata wewe, 😂
 
At Obama ni pepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…