Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Majini kwa lugha nyingine ni Mapepo, Vibwengo, Vinyamkera, Mizimu, Popobawa. nkWaislamu hawatumii mapepo bali MAJINI mkuu. Wanasema mwanyezi mungu aliumba mapepo ili kumuabudia
Nakukaribisha kwenye maisha ya utakatifu.Unanikaribisha kwenye ukichaa mkuuπ€£π€£π€£
Katika jambo ambalo Mungu Huwa halivumili, ni WANADAMU aliwaumba, kuchanganya uzao na mapepo.Ndiyo kusema hii dunia si salama?
πππ
Ni Kweli Si Kila mtoto mwenye akili sana ni Pepo katika form ya WANADAMU.Inafikirisha!
Inasemekana wengi wao wana akili sana, lakini si kila "genius" ni "jini"
Wanaweza wakawa na uhusiano wo wote na baadhi ya wanasayansi ambao ni atheist?
Nakukaribisha kwenye maisha ya utakatifu.
Uwe mwana wa Mungu.
Amen
Mungu mueza wa yote hayupo angekuwepo angetaka niwe wake wala asingewatumia machawa kma nyie. Kutumia machawa( wahubiri) ni udhibitisho tosha mueza wa yote hayupo na kama yupo ni dhaifu sana kuliko ata wewe .Nakukaribisha kwenye maisha ya utakatifu.
Uwe mwana wa Mungu.
Amen
Ikiwa u uzao wa WANADAMU wasiochanganya uzao na mapepo, ni Rahisi kwako kuelewa na kuokoka sababu asili ya WANADAMU waliotokana na Pumzi ya Mungu ni Mbinguni.Mungu mueza wa yote hayupo angekuwepo angetaka niwe wake wala asingewatumia machawa kma nyie. Kutumia machawa( wahubiri) ni udhibitisho tosha mueza wa yote hayupo na kama yupo ni dhaifu sana kuliko ata wewe .
Unaelewa maana ya Mungu mueza wa yote?Ikiwa u uzao wa WANADAMU wasiochanganya uzao na mapepo, ni Rahisi kwako kuelewa na kuokoka sababu asili ya WANADAMU waliotokana na Pumzi ya Mungu ni Mbinguni.
Lakini ikiwa wewe u uzao wa Nyoka, Pepo katika form ya WANADAMU, kamwe huwezi kuokoka na Mbinguni huwezi ingia maana kule ni Patakatifu.
Wana wa Giza ni dhahiri, na Wana wa Nuru ni dhahiri pia.
Imeandikwa, mpanzi alipomaliza kupanda mbegu, adui naye alikuja usiku na kupanda magugu,
Malaika wakamwomba Mungu awaruhusu waende wakaondoe magugu shambani, Mpanzi ambaye ni MUNGU akawazuia kung'oa magugu sababu watang'oa na mbegu nzuri.
In short sifa mojawapo ya Pepo katika form ya WANADAMU hawaipendi kusikia habari za Mungu, Yesu au Mbinguni,INJILI.
Wao hufurahia sana UOVU na mambo ya Giza kuliko Nuru.
Bt naamini u mwana wa Mungu.
Amen
Umesema hakuna Mungu, hapo hapo unaniuliza juu ya Mungu muweza wa YOTE!!!Unaelewa maana ya Mungu mueza wa yote?
Kumbe!Ni Kweli Si Kila mtoto mwenye akili sana ni Pepo katika form ya WANADAMU.
Lakini, epuka kumwita mwanao genius ikiwa ni bright katika masomo, maana "genius ndo jini mwenyewe!!
Mwite Angelous au Bright child.
Nimebainisha hapo juu, Nia Yao wao kuja duniani, ni kuhakikisha mwanadamu anakuwa bussy na mambo ya kidunia, asimwamini Mungu au kuabudu.
Si aiitheist wote ni Pepo, maana Kuna wengine ni watu waliorubuniwa.
Ingawa Wote wanaoengineer hiyo move ya Eithiest ni Mapepo katika form ya WANADAMU.
Ubarikiwe.
Kwa hiyo umeelewa hakuna kweli ,ndio maana umeona wewe ufanye kazi ya kuniamnisha sio ?Umesema hakuna Mungu, hapo hapo unaniuliza juu ya Mungu muweza wa YOTE!!!
Unamaanisha nini?
Kuna Ushuhuda mzuri wa mama mmoja anaitwa Funimilayo Adebayo ni muinjilusti wa Kinaijeria unaitwa miaka 990 kwenye ufalme wa giza. Anaelezea haya akiwa ni mmojawapo wa hao wanadamu.Asante Kwa mchango mzuri.
Hawa wanaoongelewa kwenye mada Si majini au mapepo katika mwili wa kiroho HAPANA.
Hawa ni watu kabisa, wamezaliwa kabisa, tunaishi nao, tunasali nao, ni wanafunzi wenzetu , kazini wapo nk nk
Wana miili ya WANADAMU kabisa ila Si WANADAMU.
Ni Pepo Walio katika form au mwili kabisa wa mwanadamu.
Baadhi Wametajwa humo kwenye ushuhuda huo.
Amen
Hahahahaha , walokole bhana.Kumbe!
Nilikuwa sijui origin ya neno "genius"
Sio inawezekana wamo JF. NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA KUWA WAMO TENA WENGI. Ndio Hawa wanaopinga kila kitu kuhusu Mungu.Inafikirisha!
1. Inawezekana wamo JF?
2. Wana uhusiano wo wote na wanaojiita atheist?
Ni kweli na mara nyingi walipoonekana kwa wanadamu hata sasa wanajifunua kama wanaume vijana wenye umri wa 20'sKama hujui kitu ni bora unyamaze.
Ushasikia Malaika anaitwa Sara ?
Jinsia ya kike iliumbwa tu ili kumfurahisha Adam.
Mungu ni mwanamme
Isaya (Isa) 50:1 BWANA asema hivi, Iko wapi hati ya talaka ya mama yenu, ambayo kwa hiyo naliachana naye? Au nimewauza ninyi kwa nani katika watu wanaoniwia? Ninyi mliuzwa kwa sababu ya maovu yenu; tena mama yenu ameachwa kwa sababu ya makosa yenu.
Malaika wote ni wanaume
Michael
Rafael
Gabriel
Ramiel
Uriel
Sariel
Nk.
Yesu ni mwanaume pia, na alifundisha kusali
Baba yetu uliye Mbinguni.
Usijifanye mjuaji uliza.
Jidanganye [emoji1]Sio inawezekana wamo JF. NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA KUWA WAMO TENA WENGI. Ndio Hawa wanaopinga kila kitu kuhusu Mungu.
Kwa umri wangu wa 40's kumtumikia Mungu na kutumika madhabahuni tola 1990's nilipoanza utumishi, nawajua ndani nje nyie mawakala. Hamnidanganyi wala nipotosha. Pole, jaribu kwingine.Jidanganye [emoji1]
Walokole bhana ,kwamba apo unahisi ni mapepo na kuhisi unapitishwa kwenye majaribu π€£π€£π€£Kwa umri wangu wa 40's kumtumikia Mungu na kutumika madhabahuni tola 1990's nilipoanza utumishi, nawajua ndani nje nyie mawakala. Hamnidanganyi wala nipotosha. Pole, jaribu kwingine.
We bado sana kwangu. Pole ππππππ π€£πWalokole bhana ,kwamba apo unahisi ni mapepo na kuhisi unapitishwa kwenye majaribu π€£π€£π€£
Wala sitaki niwe tayari mkuu , huu ukichaa wa imani tuujadili apa ,mimi ni jini au sio jini?We bado sana kwangu. Pole ππππππ π€£π