Wajue Mapepo katika maumbo ya Wanadamu

Wajue Mapepo katika maumbo ya Wanadamu

Ndiyo kusema hii dunia si salama?
😃😃😃
Katika jambo ambalo Mungu Huwa halivumili, ni WANADAMU aliwaumba, kuchanganya uzao na mapepo.

Ukiona Hali hiyo kuongezeka, jua pia maovu na makufuru huongezeka, hivyo ADHABU I karibu.

Wakati wa Nuhu, Dunia iliangamizwa, Sodoma na gomora vile vile.

Mungu atusaidie.
 
Inafikirisha!

Inasemekana wengi wao wana akili sana, lakini si kila "genius" ni "jini"

Wanaweza wakawa na uhusiano wo wote na baadhi ya wanasayansi ambao ni atheist?
Ni Kweli Si Kila mtoto mwenye akili sana ni Pepo katika form ya WANADAMU.

Lakini, epuka kumwita mwanao genius ikiwa ni bright katika masomo, maana "genius ndo jini mwenyewe!!

Mwite Angelous au Bright child.

Nimebainisha hapo juu, Nia Yao wao kuja duniani, ni kuhakikisha mwanadamu anakuwa bussy na mambo ya kidunia, asimwamini Mungu au kuabudu.

Si aiitheist wote ni Pepo, maana Kuna wengine ni watu waliorubuniwa.

Ingawa Wote wanaoengineer hiyo move ya Eithiest ,drugs,feminism, USHOGA, HAKI ya Kutoa mimba, ni Mapepo katika form ya WANADAMU.

Ubarikiwe.
 

Jehovah Wanyonyi (1924 – 18 July 2015) was a self-proclaimed god who lived in Chemororoch village in Uasin Gishu County, western Kenya. He claimed to be the Almighty God and deemed Jesus Christ to be his son. He considered Mount Elgon which is near his home to be Mount Zion. He died on July 18, 2015, at the age of 91.[1]

He also claimed to be able to cure AIDS, and had stated that he would punish Kenya if the country did not give him 3 billion Kenyan shillings ($34.6 million). He referred to his ministry as the Lost Israelites of Kenya.

Wanyonyi had 70 wives and 95 children.[1] He had several grandchildren. He refused to say if his children are also sons of God. Wanyonyi is said to have approximately 1,000 followers who consider him to be God.[2]

Source: Jehovah Wanyonyi - Wikipedia
 
Nakukaribisha kwenye maisha ya utakatifu.

Uwe mwana wa Mungu.

Amen

Nakukaribisha kwenye maisha ya utakatifu.

Uwe mwana wa Mungu.

Amen
Mungu mueza wa yote hayupo angekuwepo angetaka niwe wake wala asingewatumia machawa kma nyie. Kutumia machawa( wahubiri) ni udhibitisho tosha mueza wa yote hayupo na kama yupo ni dhaifu sana kuliko ata wewe .
 
Mungu mueza wa yote hayupo angekuwepo angetaka niwe wake wala asingewatumia machawa kma nyie. Kutumia machawa( wahubiri) ni udhibitisho tosha mueza wa yote hayupo na kama yupo ni dhaifu sana kuliko ata wewe .
Ikiwa u uzao wa WANADAMU wasiochanganya uzao na mapepo, ni Rahisi kwako kuelewa na kuokoka sababu asili ya WANADAMU waliotokana na Pumzi ya Mungu ni Mbinguni.

Lakini ikiwa wewe u uzao wa Nyoka, Pepo katika form ya WANADAMU, kamwe huwezi kuokoka na Mbinguni huwezi ingia maana kule ni Patakatifu.

Wana wa Giza ni dhahiri, na Wana wa Nuru ni dhahiri pia.

Imeandikwa, mpanzi alipomaliza kupanda mbegu, adui naye alikuja usiku na kupanda magugu,

Malaika wakamwomba Mungu awaruhusu waende wakaondoe magugu shambani, Mpanzi ambaye ni MUNGU akawazuia kung'oa magugu sababu watang'oa na mbegu nzuri.

In short sifa mojawapo ya Pepo katika form ya WANADAMU hawaipendi kusikia habari za Mungu, Yesu au Mbinguni,INJILI.

Wao hufurahia sana UOVU na mambo ya Giza kuliko Nuru.

Bt naamini u mwana wa Mungu.

Amen
 
Ikiwa u uzao wa WANADAMU wasiochanganya uzao na mapepo, ni Rahisi kwako kuelewa na kuokoka sababu asili ya WANADAMU waliotokana na Pumzi ya Mungu ni Mbinguni.

Lakini ikiwa wewe u uzao wa Nyoka, Pepo katika form ya WANADAMU, kamwe huwezi kuokoka na Mbinguni huwezi ingia maana kule ni Patakatifu.

Wana wa Giza ni dhahiri, na Wana wa Nuru ni dhahiri pia.

Imeandikwa, mpanzi alipomaliza kupanda mbegu, adui naye alikuja usiku na kupanda magugu,

Malaika wakamwomba Mungu awaruhusu waende wakaondoe magugu shambani, Mpanzi ambaye ni MUNGU akawazuia kung'oa magugu sababu watang'oa na mbegu nzuri.

In short sifa mojawapo ya Pepo katika form ya WANADAMU hawaipendi kusikia habari za Mungu, Yesu au Mbinguni,INJILI.

Wao hufurahia sana UOVU na mambo ya Giza kuliko Nuru.

Bt naamini u mwana wa Mungu.

Amen
Unaelewa maana ya Mungu mueza wa yote?
 
Ni Kweli Si Kila mtoto mwenye akili sana ni Pepo katika form ya WANADAMU.

Lakini, epuka kumwita mwanao genius ikiwa ni bright katika masomo, maana "genius ndo jini mwenyewe!!

Mwite Angelous au Bright child.

Nimebainisha hapo juu, Nia Yao wao kuja duniani, ni kuhakikisha mwanadamu anakuwa bussy na mambo ya kidunia, asimwamini Mungu au kuabudu.

Si aiitheist wote ni Pepo, maana Kuna wengine ni watu waliorubuniwa.

Ingawa Wote wanaoengineer hiyo move ya Eithiest ni Mapepo katika form ya WANADAMU.

Ubarikiwe.
Kumbe!
Nilikuwa sijui origin ya neno "genius"
 
Umesema hakuna Mungu, hapo hapo unaniuliza juu ya Mungu muweza wa YOTE!!!

Unamaanisha nini?
Kwa hiyo umeelewa hakuna kweli ,ndio maana umeona wewe ufanye kazi ya kuniamnisha sio ?

Dhibitisha Mungu muweza wa yote yupo.
 
Asante Kwa mchango mzuri.

Hawa wanaoongelewa kwenye mada Si majini au mapepo katika mwili wa kiroho HAPANA.

Hawa ni watu kabisa, wamezaliwa kabisa, tunaishi nao, tunasali nao, ni wanafunzi wenzetu , kazini wapo nk nk

Wana miili ya WANADAMU kabisa ila Si WANADAMU.

Ni Pepo Walio katika form au mwili kabisa wa mwanadamu.

Baadhi Wametajwa humo kwenye ushuhuda huo.

Amen
Kuna Ushuhuda mzuri wa mama mmoja anaitwa Funimilayo Adebayo ni muinjilusti wa Kinaijeria unaitwa miaka 990 kwenye ufalme wa giza. Anaelezea haya akiwa ni mmojawapo wa hao wanadamu.
 
Kama hujui kitu ni bora unyamaze.

Ushasikia Malaika anaitwa Sara ?

Jinsia ya kike iliumbwa tu ili kumfurahisha Adam.

Mungu ni mwanamme

Isaya (Isa) 50:1 BWANA asema hivi, Iko wapi hati ya talaka ya mama yenu, ambayo kwa hiyo naliachana naye? Au nimewauza ninyi kwa nani katika watu wanaoniwia? Ninyi mliuzwa kwa sababu ya maovu yenu; tena mama yenu ameachwa kwa sababu ya makosa yenu.

Malaika wote ni wanaume
Michael
Rafael
Gabriel
Ramiel
Uriel
Sariel
Nk.
Yesu ni mwanaume pia, na alifundisha kusali

Baba yetu uliye Mbinguni.

Usijifanye mjuaji uliza.
Ni kweli na mara nyingi walipoonekana kwa wanadamu hata sasa wanajifunua kama wanaume vijana wenye umri wa 20's
 
Kwa umri wangu wa 40's kumtumikia Mungu na kutumika madhabahuni tola 1990's nilipoanza utumishi, nawajua ndani nje nyie mawakala. Hamnidanganyi wala nipotosha. Pole, jaribu kwingine.
Walokole bhana ,kwamba apo unahisi ni mapepo na kuhisi unapitishwa kwenye majaribu 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom