Wajue Masupasta 10 waliofariki kwa ugonjwa wa UKIMWI

Baada ya ulimwi kuwasomba wazungu Kwa Kasi wenzetu walijigunza mapema sana. Ila huku kwetu elimu inatolewa watu hawaelewi. Uzunguni kitu kinaitwa mchepuko Sio kitu cha kawaida. Wakishindwana ni talaka tuu Ila siyo kuwa viruka njia Kama watu weusi
 
Asante mkuu ila kitu nilichoona its all about black people! Sisi weusi no matter what and where you live we are the victims of deadly disease and poverty! Afrika Aids imeua sana USA black community the same! Swali why black?
Black community Dunia bado hatujastaarabika. Wazungu kitu uaminifu ni kitu muhimu kwenye ndoa zao. Mambo ya cheating kwao ni kitu kibaya sana. Ila Africa watu walio kwenye ndoa ndio wanaongoza Kwa ukimwi. Inshort weusi Sio waaminifu Sana
 
Ukimwi unaua Sana Africa ila Ulaya watu wachache Sana wenye ngwengwe. % ya 0.0001 watu wachache wenye ngwengwe
 
Mbona CIA aliyekuwa kitandani hoi.alielezea alivyotumwa kummaliza Na pin ya kwenye kiatu?

Mkuu angalia wakati naandika hiyo post ilikuwa mwaka gani na yule former CIA agent wakati anaconfess kitandani siku chache kabla ya kifo chake ilikuwa miaka mitatu baada ya post yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…