warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Tofauti ya sasa na kipindi cha nyuma ni muda wa kuugua tu yaani inachukua muda mfupi kummaliza muathirika tangu apate maambukizi, sasa hivi muda wa kuishi umeongezeka ila dalili ya mwisho ni ile ile tu na madawa ya kurefusha maisha ARV's yana madhara makubwa ndio maana unakuta kuna waathirika wanakufa na magonjwa ya moyo au saratani ambayo yanatokana na madawa ya kupunguza makali ya AIDS.
Ukimwi ni hatari sana.
Ni kweli