Alikuwa anabana ulaji wa watu
Du haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anabana ulaji wa watu
Uongo bana Us hakuna ngoma😀😀😀😀😀
Poa naiandaa sasa hivi
Kuna consiparancy nyingi sana hapo.
Haya bwana.Mimi nasubiri list ya masuper star wa Tanzania waliofariki kwa UKIMWI!
Nyie ndio huwa mnaamini kuwa US watu hawajambi!
Ril Wayne pia nae alishawahi kujitangaza kuwa ni muathirika Wa ukimwi,SAA cjui ndio alikuwa anatafuta kick au laa
wana bahati mbaya sana walifariki kabla ya maendeleo makubwa katika utabibu uliopelekea ukimwi kutoogopwa tena kama inavyoogopwa ebola na cancer.
Magic Johnson anadunda mpaka sasa tangu early 90's.
Hahahaaa,wewe chizi huo ujinga wako ulionitumia pm nimeishia tu kuvunjika mbavu zangu!
kwa imani yako bob si nabii, ila kwa imani yangu mimi bob ni nabii
Huyo unayemuongelea ni tofauti na huyu wetu. Yeye alikufa na alizikwa kwa heshima zote.Huyo licha ya huo unaousema kuwa ulimuua lakini kuna stori pia kuwa aliuawa.[/QUOTEWanasema jamaa bado mzima kunako nchi za jirani..
SIku izi magonjwa yanalipuka mengi, washukur izo dawa za kupunguza makali ya ukimwi, maana wangeumbuka wengi, mtu anajishaua kufanya mazoezi na kula vizur kumbe tayari... bongo movie ndo mmh hatari, huyu mjane kijana nae nasikia kaukwaa