hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,837
Kuna mtu mmoja alikua na nguvu sana hapa TZ.tulitangaziwa kaondoka kwa kansa ya damu lkn ilikua ngoma pia. Nikimtaja sitaeleweka hata kidogo na wa Tz na naweza kutiwa selo. Ngoja tu nipotezee!
Potezea kaka ingawa clues zimenielekeza vyema