Wajue Masupasta 10 waliofariki kwa ugonjwa wa UKIMWI

Wajue Masupasta 10 waliofariki kwa ugonjwa wa UKIMWI

Uongo bana Us hakuna ngoma😀😀😀😀😀
 
Uongo bana Us hakuna ngoma����������

Mimi mwenyewe najiulizaga,kama ulaya kuna ukimwi basi rihhana hakosi kwa kweli, maana ****** yule

Ila tusiwatenge huwezi jua dunia hii, hakuna anayependa kupata ukimwi, ni mitihani tu, waathirika wakisoma apa watajisikia vibaya, hatuwezi kujua labda na sisi ni maiti tarajiwa ahahahahja
 
Hilo nenooo,ngoja nimuambie shemeji yako tukapime na sisi.


Ila kwani sie wambea tunapataga ukimwi? Mi nadhani jukwaa la MMU ndo kutakuwa na waathirika wengi maana kule kutwa wanawaza ngono tuuu, sisi uku umbea masaa 24 ukimwi unatokea wapi? Ahahahahahah sitaki bifu na kina mwafulani
 
Ila kwani sie wambea tunapataga ukimwi? Mi nadhani jukwaa la MMU ndo kutakuwa na waathirika wengi maana kule kutwa wanawaza ngono tuuu, sisi uku umbea masaa 24 ukimwi unatokea wapi? Ahahahahahah sitaki bifu na kina mwafulani

Hahahaaa,na ile autobiography iliyowekwa kule hali ni mbaya kwelikweli.
Binamu UKIMWI hauchagui jukwaa maana hao wa huko MMU hua wanakuja na huku celebrities pia.Kwahiyo chondechonde binamu asije mbebez akakuzimia kisa haya maubuyu yako na wewe ukaingia kichwa kichwa tutakukosa hivihivi. ..
Ohooooo.
 
Hahahaaa,na ile autobiography iliyowekwa kule hali ni mbaya kwelikweli.
Binamu UKIMWI hauchagui jukwaa maana hao wa huko MMU hua wanakuja na huku celebrities pia.Kwahiyo chondechonde binamu asije mbebez akakuzimia kisa haya maubuyu yako na wewe ukaingia kichwa kichwa tutakukosa hivihivi. ..
Ohooooo.

Haha bora nife kwa ebola na sio ukimwi
 
Nilikua nasikiliza VOA siku moja wakieleza historia ya Bob Marley wakasema wazi alifariki kwa HIV

Meku hawa wazungu wanacheza n akili za wa2 bob wake zake wote wako haina zaidi inamaana kina rita marley wameishi nao huu ugonjwa 35yrz basi watakua n cd4 za taruma la reli maana haziishi wala kushuka
 
Kuna mtu mmoja alikua na nguvu sana hapa TZ.tulitangaziwa kaondoka kwa kansa ya damu lkn ilikua ngoma pia. Nikimtaja sitaeleweka hata kidogo na wa Tz na naweza kutiwa selo. Ngoja tu nipotezee!

Cc: tree killer
 
Mie ndo na mawazo kama yako. Na hapa anlidhani ni ya bongo kumbe mbele. Hata simjui hata mmoja

Mkuu unataka kuniambia hata Anodi ya Jini Haujawahi kuiona ile Movie? Kama Umeiona Basi Yule Jini ndio Huyo Kevin Peter Hall Number 3.
 
Mkuu Eazy-E alim-sign Dr.Dre kwenye Label yake ya Ruthless Record baada ya kumuachia ndio akenda na Suge Knight kwenye Death Row Records.N.W.A ilundwa baada ya Dr.Dre na Ice Cube kuwa Signed na Ruthless Record iliyomilikiwa na Eazy-E.
Nafahamu hilo Chief, ila Dre alikuwa already made kiaina, jamaa alianza kuwa DJ (ukicheki BET Hip-hop Awards '06, G-Master Flash anampa shout-outs Dre as a DJ), affiliated with World-class Wreckin' Crew. If anything, Dre ndio alichangia kwa kiasi kikubwa mafanikio ya N.W.A. Yella na Cube wali-join kwa sababu yake.
 
Haya bwana.Mimi nasubiri list ya masuper star wa Tanzania waliofariki kwa UKIMWI!

Nilifungua uzi nikijua ni wa tz..
Pamoja na dawa za kupunguza makali na huduma mbali mbali za afya.. bado ukimwi ni tishio na unatesa wengi

usiombe umpate mtu wako wakaribu..usikie kwenye tv
 
Nafahamu hilo Chief, ila Dre alikuwa already made kiaina, jamaa alianza kuwa DJ (ukicheki BET Hip-hop Awards '06, G-Master Flash anampa shout-outs Dre as a DJ), affiliated with World-class Wreckin' Crew. If anything, Dre ndio alichangia kwa kiasi kikubwa mafanikio ya N.W.A. Yella na Cube wali-join kwa sababu yake.

Ndio Hivyo Mkuu alivyoingia kwa Eazy-E nyota yake ndio ikang'aa zaidi ni kama hapa Bongo kusema Bob Junior kamtoa Diamond,B4 Diamond Kuingia Sharobaro Recs alikuwa na Ngoma Jisachi aliyotengeneza kwa Lamar lakini haikumtoa.
 
Back
Top Bottom