Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

VERY ENTERESTING KWA HIYO OSAMA WALIMWONEA BURE

WOTE TUNAJUA KUWA WAO NDIO WENYE
WORLD TRADE CENTER NA

STORY ZINASEMA KUWA WAO NDIO WALIOIANGUSHA WORLD TRADE CENTER




 
Duh jamaa wanapanga hadi nani awe Rais? mi nilikua sijui thank for letin me know au ndo Freemason?
Rockefeller na malkia na wenzao jumla walikuwa wanne ndio famillia tajiri zenye nguvu zilizokubali kueneza freemason duniani na shetan akazibariki. Waafrica kabla ya biblia hawampendi shetani kwahyo kina selasie uzao wa seleman na akina mensah musa kina farao walikataa kabisa.
 
Wana JF husikeni na kichwa cha mawasilisho hapo juu,hayo majina mawili na majina mazito sana kiundani ila kwa kurashiarashia ni kama utani vile.

Je ni kweli hizo ni family zenye pesa zaid ya matijili wengine hapa duniani na kiasi gani cha fedha wanazomiliki kila familia mojawapo mpka sasa na wanajihusisha zaidi na biashara gani?!.
 
Hafu usimfananishe billgates na rockafella au Rothschild sababu those are families tena koo kabisa hafu unacompare na utajiri wa individual its not fair kabisa unamuonea tu
 
Too inconsistent brother kwasababu moja ifutayo unasema they were wiped out by the flood

Hafu unakuja tena kutuambia about their blood line
Either umekosea kuandika au may be what you wrote never existed even
 
Aliens ni kama strangers kiumbe chochote hai chenye intelligence originating outside the earth tunakiita alien sio nephilims
 
nadhani umechanganya kati ya roschild na rockerfeller...roschild...ndio matajiri zaidi..ndio wenye authority ya kuamua nani awe rais wa nchi gani..ni wao ndio walopanga vita kuu ya kwanza na ya pili ya dunia...plus wat goes by in the world..ni matajiri..kuliko hata taifa lote la marekani..plus wao ndio walioleta idea ya paper money and banking system
 
Ni koo hapo maana hio unaweza kuta hata wapo maelfu
 
Hizo koo.zina mawe!
Lakin in kwa damu
Utajir wa damu!
Also pana siri sanaaa
So msikubali matango por ya watu humu!
Also wanajiendesha kwa usir mkubwa Sana'a!
 
Kuhusu kaini hakuna confusion pale someni vizuri bible
Tatizo watu wengi aidha wamefundushwa vibaya au wana overlook wanaposoma
Challenge kubwa ni kwamba wengi hudhani adam alizaa watoto wawili prior to the death of Abel lakini sihivyo kitabu cha kwanza kimetaja only important figures ambao walienda Ku dictate historia ya Israel

Lakinii ukisoma vizuri kupo wazi Adam alizaa watoto wengi mno wakutosha na ndo hao ambao kaini alikwenda kwai huko
Mwanzoni mwa wanadamu ilikuwa ruksa kuoa Dada ako kulikuwa hamna namna hadi kipindi cha nabii musa ndo incest ( ndoa/mapenzi ya ndugu yani) ikabatilishwa
So rudi in the bible soma critically utaona ninacho kuambia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]waafrika hawahawa uchawi ndo ulipo lala uku matambiko ya mizimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…