Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Sasa wewe umesoma hafu huna data hichi kizazi daa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] google jamani hii kina upuuzi mwingi sana watu wanabeba wanaleta jf humu
 
Mkuu nimesoma vizuri mada zako. pia nimesoma Biblia 6:1-8. Biblia inaonyesha kuwa Mungu aliwaangamiza watu wote isipokuwa Nuhu. sasa hawa unawasema akina Rockafeller wsliponaje? wakati tunaona waliopona ni watu nane tu?
Swali nzuri sana MNFUMAKOLE maana anapotosha watu sana
Nimemuuliza pia hajajibu swami langu?
Yupi very inconsistent yet kuna watu anawachota hapa
 
Familia gani hizo mkuu za far east
 
Propaganda
 
They are really fables
Russian
Propagandas
 
Yaani huu uzi Ni powa sana naomba unitumie Kwa email yangu ili niuhifadhi please.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] google jamani hii kina upuuzi mwingi sana watu wanabeba wanaleta jf humu
Kaandika utumbo wa kiwango cha kutafuta mbwa
 
Wape sifa zote ila kwa Mensa Mussa ni wachumba tu, historia inaongea nao wanajua
 
Mkuu kwa mujibu wa maandiko Adam alikuwa na watoto sita ambao ni

Awan
(daughter)
Cain (son)
Azura (daughter)
Abel (son)
Seth (son)
Aclima (daughter)
 
Rockefeller ni shida sana duniani sijajua kuhusu Rothschild mbona kuna utata kati ya hawa wawili nani yupo juu ya mwenzake??
 
Rockefeller ni shida sana duniani sijajua kuhusu Rothschild mbona kuna utata kati ya hawa wawili nani yupo juu ya mwenzake??
Rothschild ana pesa bwana..

anamiliki migodi yote ya madini duniani..

Rockefeller wamebasi na ujenzi wa viwanda na majengo makubwa yote duniani..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee nimesoma hii coment nkarudi kuangalia tarehe ni 2014,duuh mpk nmeogopa kumbe Kuna watu wanajua Nini kitatokea duniani hata miaka kumi ijayo,hayo mafua ya ndege si ndo Corona yenyewe hii hii tunayoishuhudia[emoji44][emoji44][emoji44]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Wataalamu wameshakalculate tayari kuwa COVID-19 ni 666

Kwa namba za kirumi
C=100
V=5
I=1
D=500
in computer codes O stands for 79

hivyo-
[C+O+V+I+D] -19
(100+79+5+1+500)-19 =666

Therefore: COVID-19 = 666
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…