Peace and kindness
Member
- Oct 20, 2019
- 17
- 14
Unamkufuru vipi mungu Kama mungu ndie anayesababisha wao kua matajiri...au unadhani huo utajiri unakujaje..Ni kwasababu mungu keshapitisha hiyo hali..wanafanya mengi mazuri kutojenga kanisa isiwe kisingizio....huu utajiri mpaka unakera sasa,maana unaweza kumkufuru Mungu,sijaona wakijenga makanisa hata moja aaggghh...!
Mkuu tumekuelewaWakuu,huwa mnazistukia hizi outbreak za ghafla za magonjwa hasa ya mfumo wa hewa na hasa mijini?hebu google the word "chemtrails"!
Nifuate mimi.Dunia si mahali salama kabisa.
Sijui umepotelea wapi?Pia tuelezee kama kuna uhusiano wa Rockafeller, rothchilds, Jesuits na jews
Aisee..seriously mzee mbona unachafua uzi wa watuwatafikia familia ya akina Ridhiwani
Aisee!Hii hatari!
Coronavirus ni ushetani mtupu.Is Corona the start of the so called GREAT CLEANSING?[emoji4]
๐ฎ๐๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎMkuu unajua mambo yanavyoendeshwa duniani ni ajabu sana
Kuna mwanajeshi mmoja mstaafu wa jeshi la Uingereza ambae baada ya kustaafu alikuwa ni boss wa kitengo kimoja MI6 na liwahi kwenda kwenye mkutano mmoja wa kuzungumzia amani na mustakabali wa dunia huko Copenhagen ambapo alikutana na watu wazito sana duniani
Ajenda iliyokuwa inazungumzwa huko ilimshangaza sana huyo jamaa na kupelekea kubaki mdomo wazi,walikuwa wanazungumzia kuhusiana na kuja kuwatoa mhanga watu wa China na watu wa mashariki ya kati
Walikuwa wanasema kwenye kikao hicho kuwa "Wazee" wa dunia walikuwa wamekubaliana na "Wakubwa" wa China kuwa watawezesha uchumi wa China kuwa imara lakini na wao watakubali kuja kuwatoa mhanga watu wao kwa hao wakubwa wa dunia kupeleka maradhi kule china,maradhi ya mlipuko kama mafua ya ndege n.k wakati muafaka utakapofika kitendo kitakachopelekea dunia kulazimisha kupatikana kwa suluhu ambayo itapelekea kusimikwa utawala wa serikali moja duniani
Ukiyaangalia maneno ya huyo jamaa unaweza kuona kama ni hadithi hivi lakini kwa mtu ambae anaweza kujiuliza maswali kama hayo uliyouliza hapo juu inaweza tu kuona kuwa kuna jambo haliko sawa katika uchumi wa China na inaonekana kama kuna kama jambo lisiloeleweka hivi
Dunia ndivyo ilivyo na kule China kuna Familia moja hivi ambayo kwa wale wanaofuatilia cospiracy theories watakuwa wanaijua,familia hii inadaiwa kuwa na nguvu sana kule china na inasemekana kuwa ndio waliohusika sana na uchumi wa nchi hiyo kufikia hapo ulipo kutokana na makubaliano waliyokubaliana na Illuminati na familia hiyo ni moja kati ya vizazi 13 vinavyoijenga Illuminati,kizazi hicho kinaitwa Li
Unaweza kujisomea hapa: The Li Bloodline
Kama unataka kujisomea vizazi vyote vinavyoijenga Illuminati gonga hapa: 13 Bloodlines of The Illuminati
๐
[emoji119][emoji119][emoji119]Mkuu unajua mambo yanavyoendeshwa duniani ni ajabu sana
Kuna mwanajeshi mmoja mstaafu wa jeshi la Uingereza ambae baada ya kustaafu alikuwa ni boss wa kitengo kimoja MI6 na liwahi kwenda kwenye mkutano mmoja wa kuzungumzia amani na mustakabali wa dunia huko Copenhagen ambapo alikutana na watu wazito sana duniani
Ajenda iliyokuwa inazungumzwa huko ilimshangaza sana huyo jamaa na kupelekea kubaki mdomo wazi,walikuwa wanazungumzia kuhusiana na kuja kuwatoa mhanga watu wa China na watu wa mashariki ya kati
Walikuwa wanasema kwenye kikao hicho kuwa "Wazee" wa dunia walikuwa wamekubaliana na "Wakubwa" wa China kuwa watawezesha uchumi wa China kuwa imara lakini na wao watakubali kuja kuwatoa mhanga watu wao kwa hao wakubwa wa dunia kupeleka maradhi kule china,maradhi ya mlipuko kama mafua ya ndege n.k wakati muafaka utakapofika kitendo kitakachopelekea dunia kulazimisha kupatikana kwa suluhu ambayo itapelekea kusimikwa utawala wa serikali moja duniani
Ukiyaangalia maneno ya huyo jamaa unaweza kuona kama ni hadithi hivi lakini kwa mtu ambae anaweza kujiuliza maswali kama hayo uliyouliza hapo juu inaweza tu kuona kuwa kuna jambo haliko sawa katika uchumi wa China na inaonekana kama kuna kama jambo lisiloeleweka hivi
Dunia ndivyo ilivyo na kule China kuna Familia moja hivi ambayo kwa wale wanaofuatilia cospiracy theories watakuwa wanaijua,familia hii inadaiwa kuwa na nguvu sana kule china na inasemekana kuwa ndio waliohusika sana na uchumi wa nchi hiyo kufikia hapo ulipo kutokana na makubaliano waliyokubaliana na Illuminati na familia hiyo ni moja kati ya vizazi 13 vinavyoijenga Illuminati,kizazi hicho kinaitwa Li
Unaweza kujisomea hapa: The Li Bloodline
Kama unataka kujisomea vizazi vyote vinavyoijenga Illuminati gonga hapa: 13 Bloodlines of The Illuminati