Wajue Seal Team Six- Je, Tanzania tuna team kama hii?

Wajue Seal Team Six- Je, Tanzania tuna team kama hii?

Makomandoo WA Tanzania ni mabingwa WA kupasua matofali kwa mikono!!! Kwenye karne ya sayansi na teknolojia. Ni mabingwa WA sarakasi

Hahahha! Mkuu umenikumbusha sherehe za kutimiza miaka 50 ya Uhuru. Ila jamaa wamekomaa sio mchezo!!!!!
 
Aliekwambia kuwa Osama aliuwawa na Wamarekani usimuamini tena hata kama akikupa taarifa za msiba wa Baba yako

Wewe anzisha thread yako! Hapa hatupo kujadili Osama kauwawa au hajauwawa na Marekani.
 
Eti wale walioingia Somali hivi karibuni ili kumuua kiongozi wa Al-shabaab walikuwa kina nani? maana mission yao haikufanikiwa

Kama walitumwa kumuua na wakafanikiwa kufanya hivyo why unasema hawakufanikiwa?
 
Aliekwambia kuwa Osama aliuwawa na Wamarekani usimuamini tena hata kama akikupa taarifa za msiba wa Baba yako

tehe tehe, nadhani wewe ni mmojawapo wa wale wasioamini sept11 pia.
 
Hvi wale wanaomlindaga jk nao ni makomandoo kweli?

makomandoo wapi! akidondokaga majukwaani wanamuokota kashafika chini! Ila wanaweza zile mbwembwe zao za kudandia magari yakiwa yanakwenda kama wapiga debe, kinachoniogopesha kuna mtu siku atavunja meno maana wengi naona wana vitambi.
 
Jiulize umejiandaaje kuisaidia tz katika hilo na si kuhoji tu alafu ingia jeshini utayajua yote hayo kama yapo au hayapo?
 
Am sure zipo Tatizo hapa Tz kila kitu ni siri.
Tunawaogopa wamarekani cz wametuonyesha uwezo wao na sisi tunadhani hatuna uwezo mkubwa kuliko wao
mayb kwenye vifaa na technology lakini kwenye mazoezi mengine tupo juu sana
 
JUMONG bana!

Hata hao Urusi au China au Japan na nchi zote za Western Europe HAZINA weledi wa kufikia SEAL ya USA ndiyo then uifananishe na TZ kweli?

Team SEAL SIX-Virginia based Comandos hawajawahi shindwa operation yyt ile waliyotumwa!

Hata hawa wateka meli wa Kisomalia sasa wamefikia hatua hawazigusi meli zenye bendera ya USA zikikatisha ghuba ya Aden maana wanajua kitakacho wakuta!
Mkuu una uhakika?
Team seal six walishiondwa mission ya hivi karibuni Somalia baada ya kupata upinzani mkubwa kutoka kwa wapiganaji wa Al shabaab.
Hawakutegemea kupata mashambulizi hayo makali, wakaamua ku'abort mission na kukimbia.
Source: Navy SEALs Somalia: SEAL Team Six aborts mission after 15-minute firefight - San Diego Top News | Examiner.com
 
makomandoo wapi! akidondokaga majukwaani wanamuokota kashafika chini! Ila wanaweza zile mbwembwe zao za kudandia magari yakiwa yanakwenda kama wapiga debe, kinachoniogopesha kuna mtu siku atavunja meno maana wengi naona wana vitambi.

Hahahaaa mbavu zangu mkuu we waache tu ukizingatia huwa wanapiga viroba kwanza kabla ya kudandia magari ipo siku watang'oa kweli meno kama walivyomng'oa ulimboka
 
Mara tuambiwe makomandoo wa Israel mara wa MareKani sasa je tushike lipi tuache lipi? au Marekani na Israel wameungana muungano kama ule wa Pemba na Zimbabwe?

teh teh teh..................fake fake fake..............!!ha ha ha ha teh
 
Some of these stories...haaahaaa! Jeshi letu ni moja ya majeshi bora kabisa duniani. Inawezekana technologia tu ndio inayotusumbua kwa sasa ila sio uwezo wa rasilimali watu. We have the best trust me.

Technologia (Technology) is the application of science knowledge for practical purposes....hii ndiyo maana yake.

Sasa unaposema majeshi yetu ni bora lakini technologia ndiyo inayotusumbua ....huo ubora unatoka wapi wakati elimu ya science ya masuala ya usalama tunasumbuka kuitumia....!?
 
Technologia (Technology) is the application of science knowledge for practical purposes....hii ndiyo maana yake.

Sasa unaposema majeshi yetu ni bora lakini technologia ndiyo inayotusumbua ....huo ubora unatoka wapi wakati elimu ya science ya masuala ya usalama tunasumbuka kuitumia....!?

If technology is everything, why USA trains Navy Seals? If technology is everything why did they fail to prevent Sept 11? Technology in my understanding goes together with capable human resources. We have capable human resouces and miss technology...hapo sasa changamoto ni kuinua technology. Ila masarau kwamba hatuwezi mi simo...
 
Some of these stories...haaahaaa! Jeshi letu ni moja ya majeshi bora kabisa duniani. Inawezekana technologia tu ndio inayotusumbua kwa sasa ila sio uwezo wa rasilimali watu. We have the best trust me.

Mkuu unataka kusema kuna teknolojia makomando wetu hawawezi kuzitumia? Huu basi ni udhaifu, as nikiangalia dictionary yng maana ya komando ni traid people trained kwa kila sekta!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Makomandoo WA Tanzania ni mabingwa WA kupasua matofali kwa mikono!!! Kwenye karne ya sayansi na teknolojia. Ni mabingwa WA sarakasi
Kuna komando mmoja pale Msamvu round about Morogoro alichelewa basi la Dodoma akalikuta moja ndo liko in motion karib na round about, aliruka ka paka na akapitia vidirisha vidogo vya juu ya vioo vya basi akatokezea ndani, dreva alipaki gari kwa kiwewe!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
If technology is everything, why USA trains Navy Seals? If technology is everything why did they fail to prevent Sept 11? Technology in my understanding goes together with capable human resources. We have capable human resouces and miss technology...hapo sasa changamoto ni kuinua technology. Ila masarau kwamba hatuwezi mi simo...

Hivi kipimo cha kuwahakiki makomando huwa ni kipi zaidi?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom