hakuna aliyeitikisa dunia kama SHETANI ana control dunia na vyote vilivyomo,wachungaji wanampinga madhabahuni ila wanatekeleza maagizo yake vichochoroni,masheikh,maaskofu,mapadre,wasomi na wasiosoma wanaitikia wito wake direct or indirect,viongozi wa dunia almost woooote wanapiga magoti before him,uchumi wa dunia unaendeshwa kwa sera zake,,,duh!!yaani shetani noma! hadi nabii lwakatare naye kanywea kwa mziki wake!! yaani ni MIMI tu ndiye niliyeweza kumshinda!! hadi Hitler naye anadai eti ni shetani alimpitia! ouuugh!!!