Wajue wababe waliotikisa dunia

Wajue wababe waliotikisa dunia

Mwanzilishi wa Jamii Forum.................... Merry Christmas mkuu
 
B.olo Yeung, huyu jamaa alimsumbua sana Van Damme
 
Wewe ndio kilaza wa mwisho kwenye dunia hii sasa huyu mzee Ponda kafanya kosa gani hata umtaje hapa Mwenyezi Mungu akulani leo usi inuke hapo ulipoka kilaza mkubwa wewe

Hajamtaja kuwa amekosa kitu, amemtaja kama shujaa wake!! Kuna mtuhumiwa yeyote ambaye wewe unamfahamu aliyewahi kusomewa mashtaka na mahakama mbili zikizo mikoa tofauti ndani ya siku moja? Akasafirishwa na helkopta ya serikali???!
 
Vlad Dracula
Stalin
Pol Pot
Genghis Khan
Josef Mengele, ( huyu msikie tuu hamna jitu katili kama hili
 
Wewe ndio kilaza wa mwisho kwenye dunia hii sasa huyu mzee Ponda kafanya kosa gani hata umtaje hapa Mwenyezi Mungu akulani leo usi inuke hapo ulipoka kilaza mkubwa wewe

we naye kilaza+ kwani alitaja walofanya makosa?upuuzi huo ndo maana mnaanzishaga vurugu....swain
 
pablo Emilio Escobar Gavilia
Amado Carrillo Fuentes
Manueli Noriega
christopher 'Dudu' coke
Osiel Cardenas Guillen
 
Back
Top Bottom