Wajue Wabunge watano waongoza kuchangia bungeni

Wajue Wabunge watano waongoza kuchangia bungeni

Huyu Oluoch anafikiri fikiri ki-CWT zaidi, ana-argue hata mambo asiyoyajua vizuri hadi anaboa. Si angetulia ajifunze kwanza?

Si yeye tu bali kuna vimama fulani pia vinachonga sana kama vile viko Kitchen party na ukiangalia kwa undani havina hoja na sheria havijui lakini vinajifanya vyajua sheria tena havioni hata aibu...Naomba viangalie mwenzao bi Mkora yupo ndani ya baraza kimyaaaa akiendelea kutafakari yanayojiri bila papara

Kama kile kilichoomba mwongozo eti kwanini Oluoch anajitambulisha kama Mwalimu wakati jina lililoandikishwa ni jingine..vinachelewesha muda ili viendelee kupata Posho tu vikiwa Dodoma
 
Kwaiyo n haki yao n wajibu wao kuchangia kama wanamazo si ajabu mtoa mada
 
Kwanini unaendelea kuandika ujinga kila siku? Jifunze kwa wanaccm wenzako wanavyojenga hoja humu mtandaoni na sio kuandika tu kama unajamba!
Huyo jamaa nataka nianzishe kampeni ili watu wamuweke kwenye Ignore list maana katika akili ya kawaida ni rahisi kukuharibia mood yako ukajikuta umeufuata upuuzi kwa kukasirika.
 
Nakuunga mkono mkuu,mtu kama Lowassa,Kingunge wanapiga miayo kusign posho..ma ccm ni majanga.
Mie naona afadhali hata hao wanaokaa kimya kuliko Livingstone Lusinde aliyesimama na kuzungumza utumbo kama ule. Eti yeye ndiye Nyerere wa kizazi hiki na kwamba haumbui kama kuna kitu kiliwahi kuitwa Tanganyika maana yeye alikuwa hajazaliwa hivyo hakubali kirudi. Na majinga menzie yakamshangilia.
 
Maccm hata yakichangia ni pointless tu....
wapo wengine wana point ila wengine kama kina lusinde ni masifa na mitusi tuuu sijui yakoje yamesahau tumeyaagiza nini huko dodoma
 
huyu oluoch anafikiri fikiri ki-cwt zaidi, ana-argue hata mambo asiyoyajua vizuri hadi anaboa. Si angetulia ajifunze kwanza?

yaani huyo olochu ni muuza sura kifupi maana hata kila anachochangia hakifanyiwi marekebisho inaonekana anawasilihsa mataahira
 
Hivi Simiyu yetu ameshachangia chochote tangu ameingia mjengoni au na yeye ameungana na akina ko.mba na wa-hasira ktk kuuchapa usingizi?

cc Simiyu yetu!
 
Mpaka sasa mjadala wa rasimu haujaanza rasmi, posho itakwapuliwa kwa siku 200 mtajaona tu
 
Nafikiri mwandishi umekosa uzalendo. Ni lazima pia utaje na wale wanaojibu hoja vizuri huko Bungeni.

lakin pia kuna kutoa hoja bila kuwa na mantiki yoyote ulitaka tu kuuza sura katika TV. Kuna watu kama Moses Machali, Ezekiel Wenje na Bi Ummi Mwalimu wanachangia hoja zenye mantiki na mashiko makubwa kisharia

Mh Ismail Jussa ameonyesha uwezo mkubwa sana katika kupambanua kaanun hizo kwa wajumbe wenzake na wanakamati wote lakin pia Mh Abubakar Hamis Bakar amekuwa mahiri sana katika kumsaidia jaji Werema kujibu hoja zinazotaka upambanuzi wa kisharia.
 
Toweni ushabiki wa Simba na Yanga hapa. Badala ya kuwalisha watu Habari zilizoshiba hoja za hao waliotajwa ili tujue mantiki nyie mnakuja na hoja dhaifu eti fulani kachangia mara ngapi?!
Busara ilikuwa ni kuonesha uchambuzi wa hoja za kila mjumbe ili watu wawajue hawa jamaa vizuri! Unaweza kukuta wanachangia mara nyingi lakini hawapo upande wa wananchi!

Hahahaha Wewe Sema Usaidiwe Taarifa Tu Mkuu Sio Kusema "unaweza Kukuta Pengine" Maana Yake Nini? Maana Yake Hata Wewe Hujui Na Huna Uhakika
 
sendeka sasa anaboa..huyu masai na tembea yake ya mbwembwe.....
 
sendeka sasa anaboa..huyu masai na tembea yake ya mbwembwe.....

hee!umeanza kashfa za kikabila hapa.kama hapa tu unazungumza kabila la mtu,ungekuwa mjengon unalo la kujenga au ni kubomoa tu?chunga sana.toa hoja ya msingi ueleweke!
 
Back
Top Bottom