Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Kuna nini? Kizuri kula na nduguzoMkuu. NIMESIKITIKA SANA. Kinacho endelea Arusha Mkoani Kichwani
Nyerere alikemea...Lema alikemea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nini? Kizuri kula na nduguzoMkuu. NIMESIKITIKA SANA. Kinacho endelea Arusha Mkoani Kichwani
Nyerere alikemea...Lema alikemea
[emoji38][emoji38][emoji38]Mamluki sio jina sahihi. Wale ni wapambe wa bibi harusi. Ukiondoa bibi harusi, hakuna mwingine miongoni mwao atakayefungishwa hiyo ndoa ya mkeka!
Kuna mutu pale Jengo kubwa MKOA kaingia kwa supidi ya UBAGUZI alio ukemea Mchonga BUTIAMA hata yule wa Ukerewe Derefa Kiongozi wa Mukowa HASIKILIZWIKuna nini ? Kizuri kula na nduguzo
Safari hii hawakuweza kuweka mgombea wa CHADEMA kwa lazima kama wale covi 19?
Hawa majamaa ni hatari kuliko hatari yenyewe, nakwambia!!! Wabaguzi, wazushi na wenye kutafuta shari sana shenzy zao hawa. M/ Mungu aendelee kuwalaani mashetani hawa hivi hivi!!kwa hiyo ukiwa sio chadema wewe ni mamluki. Vhadema mna shida sana nyie watu
Yaani hata ACT waliounga mkono juhudi hawajasimamisha mgombea!!?
Sana...yaani inafanana na ujumbe serikali za mtaa! Ukiangalia hizo list. Mbali na propaganda za demokrasia!Nafasi ya Usipika imeshushwa hadhi sana.
Alafu Kuna Mataga wanafikili eti Kuna uchaguzi.Mamluki sio jina sahihi. Wale ni wapambe wa bibi harusi. Ukiondoa bibi harusi, hakuna mwingine miongoni mwao atakayefungishwa hiyo ndoa ya mkeka!
Kabla Mungu hajawalaani atakulaani wewe mtwana wa mafashisti usiye na hayaHawa majamaa ni hatari kuliko hatari yenyewe, nakwambia!!! Wabaguzi, wazushi na wenye kutafuta shari sana shenzy zao hawa. M/ Mungu aendelee kuwalaani mashetani hawa hivi hivi!!