Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
#AMA KWELI KODI YA KICHWA YA MIAKA ILE IMERUDI, HAPA JF 99.9% ya wanabody tumo humu na vinatuhusu.
MKUU WA MKOA WA IRINGA ATOA VIGEZO VIPYA VYA WANAOTAKIWA KUPEWA VITAMBULISHO VYA UJASILIAMALI
1. Vibarua wa viwandani wasio na mikataba maalum.
2. Wafanyakazi wote wanaofanya kazi kwa wenye maduka/stoo za jumla.
3. Wabeba mizigo wote kwenye stendi zetu.
4. Wafanyakazi kwa wamama/baba ntilie.
5. Wachuuzi kwenye mialo yote.
6. Vibarua wote wa viwanda/mashine za kusaga unga au kukamua mafuta ya Alizeti.
7. Wafanyakazi wote walio kwenye saloon za aina zote.
8. Wale wote wanaopeleka kuuza chai kwenye viwanda vya chai toka mashamba binafsi.
9. Wafugaji biashara wote wa Ng'ombe na kuku.
10. Vibarua kwenye garage zote.
11. Wachomeleaji (welder) wote.
12. Vibarua wote kwenye karakana za Uselemala.
13. Vibarua wote kwenye vijiwe vya nyama choma/chips.
14. Wapiga debe wote kwenye stend za Iringa.
15. Wanachama walio kwenye vikundi vyote vilivyopewa Mikopo.
16. Vibarua wote walio kwenye Migodi yetu.
17. Wanachama wote wa Saccos za Iringa.
18. Vibarua wote kwenye vibanda vya simu.
19. Wafanyakazi wote kwenye Supermarket
20. Wafanyakazi wa vituo vya Mafuta.
21. Vibarua wote katika Mashamba ya miti.
22. Wanaochoma mahindi barabarani, ya kutafuna.
23. Wafanyakazi wa guest wote.
24.Wafanyakazi wa restaurant wote.
25. Wafanyakazi wote wa baa.
26. Waliowezeshwa na Mfuko wa Tasafu na waliopiga hatua kwa msaada huo.
27. Wanaolima na kuuza kibiashara bustani za mboga.
28. Waganga wote wa Tiba za jadi.
29. Wanachama wote wa Vikundi vya vikoba.
30. Vilabu vyote vya pombe za kienyeji.
31. Madereva wote wa daladala, bodaboda, mabasi, Hiace.
32. Makondactor wote wasio na Mikataba rasmi.
33. Wajasiliamali wote kandokando mwa barabara.
34. Wafanyakazi wote katika Butcher za nyama/samaki.
35. Wafanyakazi wote wa carwash.
36. Waandishi wa habari wote.
37. Wanaofyatua tofali za biashara wote.
38. Walio kwenye sector ya Utalii wote.
39. Vibarua kwa wakandarasi wote na mafundi wote wa nyumba.
40. Wafugaji wa nyuki wote.
41. MCs wote na wapiga picha.
42. Madalali wote wa nguzo, nyumba, mashamba, mazao nk.
43. Wakusanya mazao wote.
44. Wanaokopi/rekodi nyimbo Vibarazani mwa maduka.
MKUU WA MKOA WA IRINGA ATOA VIGEZO VIPYA VYA WANAOTAKIWA KUPEWA VITAMBULISHO VYA UJASILIAMALI
1. Vibarua wa viwandani wasio na mikataba maalum.
2. Wafanyakazi wote wanaofanya kazi kwa wenye maduka/stoo za jumla.
3. Wabeba mizigo wote kwenye stendi zetu.
4. Wafanyakazi kwa wamama/baba ntilie.
5. Wachuuzi kwenye mialo yote.
6. Vibarua wote wa viwanda/mashine za kusaga unga au kukamua mafuta ya Alizeti.
7. Wafanyakazi wote walio kwenye saloon za aina zote.
8. Wale wote wanaopeleka kuuza chai kwenye viwanda vya chai toka mashamba binafsi.
9. Wafugaji biashara wote wa Ng'ombe na kuku.
10. Vibarua kwenye garage zote.
11. Wachomeleaji (welder) wote.
12. Vibarua wote kwenye karakana za Uselemala.
13. Vibarua wote kwenye vijiwe vya nyama choma/chips.
14. Wapiga debe wote kwenye stend za Iringa.
15. Wanachama walio kwenye vikundi vyote vilivyopewa Mikopo.
16. Vibarua wote walio kwenye Migodi yetu.
17. Wanachama wote wa Saccos za Iringa.
18. Vibarua wote kwenye vibanda vya simu.
19. Wafanyakazi wote kwenye Supermarket
20. Wafanyakazi wa vituo vya Mafuta.
21. Vibarua wote katika Mashamba ya miti.
22. Wanaochoma mahindi barabarani, ya kutafuna.
23. Wafanyakazi wa guest wote.
24.Wafanyakazi wa restaurant wote.
25. Wafanyakazi wote wa baa.
26. Waliowezeshwa na Mfuko wa Tasafu na waliopiga hatua kwa msaada huo.
27. Wanaolima na kuuza kibiashara bustani za mboga.
28. Waganga wote wa Tiba za jadi.
29. Wanachama wote wa Vikundi vya vikoba.
30. Vilabu vyote vya pombe za kienyeji.
31. Madereva wote wa daladala, bodaboda, mabasi, Hiace.
32. Makondactor wote wasio na Mikataba rasmi.
33. Wajasiliamali wote kandokando mwa barabara.
34. Wafanyakazi wote katika Butcher za nyama/samaki.
35. Wafanyakazi wote wa carwash.
36. Waandishi wa habari wote.
37. Wanaofyatua tofali za biashara wote.
38. Walio kwenye sector ya Utalii wote.
39. Vibarua kwa wakandarasi wote na mafundi wote wa nyumba.
40. Wafugaji wa nyuki wote.
41. MCs wote na wapiga picha.
42. Madalali wote wa nguzo, nyumba, mashamba, mazao nk.
43. Wakusanya mazao wote.
44. Wanaokopi/rekodi nyimbo Vibarazani mwa maduka.