Wajue wanao takiwa kuwa na vitambulisho vya Ujasiriamali

Wajue wanao takiwa kuwa na vitambulisho vya Ujasiriamali

Ana kichaa nini. Yaani duka au kampuni ilipe kodi na mimi mfanyakazi niwe na kitambulisho Cha kodi.
 
Hahahahh..! Umenikumbusha mbali msemo wa babu yangu..!

Nimekumiss sana, mbona mumesahaurika nyie wauza nanilii...??

Bado unauza tamu mama..! Miss you mno.m
😂😂😂😂😂😂😂 usiniharibie swaum bana.
 
Amewasahau machangudoa kwenye orodha au ndo number 33?
 
Ujasiriamali una maana pana sana na lengo la raisi wetu mpendwa ni kuwaokoa wajasiriamali na adha waliyokuwa wanapata kukimbizwa kila kona na kunyang'anywa bidhaa zao.Hapo kwenye list angeongeza na manamba wa kwenye migodi na madalali wa mitandaoni pia
Wewe lazima uwe masikini wa cc m
 
Back
Top Bottom