Wajue wanao takiwa kuwa na vitambulisho vya Ujasiriamali

Ana kichaa nini. Yaani duka au kampuni ilipe kodi na mimi mfanyakazi niwe na kitambulisho Cha kodi.
 
Hahahahh..! Umenikumbusha mbali msemo wa babu yangu..!

Nimekumiss sana, mbona mumesahaurika nyie wauza nanilii...??

Bado unauza tamu mama..! Miss you mno.m
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ usiniharibie swaum bana.
 
Amewasahau machangudoa kwenye orodha au ndo number 33?
 
Wewe lazima uwe masikini wa cc m
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…