Elections 2010 Wajue wapinzani mahiri waliokaliwa kooni majimboni

Elections 2010 Wajue wapinzani mahiri waliokaliwa kooni majimboni

Heshima kwako Paulss,

Mkuu wangu habari za Ubungo na Kawe zinaweza kuwa kweli kuna rafiki yangu kanieleza hali ya hayo majimbo si nzuri kwa upande wa CHADEMA ila mpigananji Mnyika anajitahidi sana atashinda Mungu akipenda.Unajua wakati mwingine siasa za wapinzani zinachekesha sana fikiria CUF na CHADEMA walikuwa na ushirikiano mzuri bungeni nilishangaa sana wamemsimamisha mgombea Kigoma kaskazini ?.
 
Paulls yuko juu, anachukua kura zote.
 
Paulls yuko juu, anachukua kura zote.
Remmy siko juu hata kidogo ndugu yangu najaribu tu kutoa tathmini ya hali halisi kwa upande wa upinzani, kwani kuna post humu jf inaonyesha wa ccm walio kikaangoni majimboni
 
Halima mdee na J mbatia, wanadaiwa kugawana kura na kumuacha ccm akipeta
Hali kama hiyo ipo na ubngo, Mtatiro na myika
Segerea mpendazoe hoi
Kwa Zitto hali si shwari kabisa hadi anafikia kuilaumu cuf kusimamisha mgombea strong anagawa kura.
Mrema alianza vizuri lakini sasa mambo yamemkalia vibaya sana vunjo
Mtu mzima Mbowe anatumia nguvu nyingi sana lakini hadi sasa hali yake si ya uhakika
Bwana lema mzee wa kigeugeu hapo arusha watu hawana imani nae kabisa sasa anatishia kuua.
Tundu lisu ndio kabisaa hoi sgd.
Mwenye taarifa zaidi aiweke nawasilisha

Upupu!
 
Halima mdee na J mbatia, wanadaiwa kugawana kura na kumuacha ccm akipeta
Hali kama hiyo ipo na ubngo, Mtatiro na myika
Segerea mpendazoe hoi
Kwa Zitto hali si shwari kabisa hadi anafikia kuilaumu cuf kusimamisha mgombea strong anagawa kura.
Mrema alianza vizuri lakini sasa mambo yamemkalia vibaya sana vunjo
Mtu mzima Mbowe anatumia nguvu nyingi sana lakini hadi sasa hali yake si ya uhakika
Bwana lema mzee wa kigeugeu hapo arusha watu hawana imani nae kabisa sasa anatishia kuua.
Tundu lisu ndio kabisaa hoi sgd.
Mwenye taarifa zaidi aiweke nawasilisha

Kura za ubungo, hata washabiki wa CCM watatoa kwa upinzani. Lakini jimbo hilo CCM hachukui hata kwa kuchakachua. Sababu za keenja kuachia jimbo unazijua?
 
Heshima kwako Paulss,

Mkuu wangu habari za Ubungo na Kawe zinaweza kuwa kweli kuna rafiki yangu kanieleza hali ya hayo majimbo si nzuri kwa upande wa CHADEMA ila mpigananji Mnyika anajitahidi sana atashinda Mungu akipenda.Unajua wakati mwingine siasa za wapinzani zinachekesha sana fikiria CUF na CHADEMA walikuwa na ushirikiano mzuri bungeni nilishangaa sana wamemsimamisha mgombea Kigoma kaskazini ?.

Cha kushangaa nini? Kwani uliambiwa nchi hii ina chama kimoja cha upinzani? Waacheni wananchi wachague viongozi wanaowataka hata kama huyo kiongozi anatoka CCM. Jifunzeni kukubali matokeo!
 
mimi nipo kwenye jimbo moja la mtu uliyemta hapo ni uzushi mtupu huyo jamaa hana mpinzani.


umetumwa na nani na utafiti wako wa kiredet
 
Kura za ubungo, hata washabiki wa CCM watatoa kwa upinzani. Lakini jimbo hilo CCM hachukui hata kwa kuchakachua. Sababu za keenja kuachia jimbo unazijua?

mkuu sababu ni kuwa amamua kung'atuka,,vinginevyo nijuze
 
mimi nipo kwenye jimbo moja la mtu uliyemta hapo ni uzushi mtupu huyo jamaa hana mpinzani.


umetumwa na nani na utafiti wako wa kiredet

taja tu jimbo gani nikupe data kamili mkuu
kuhusu REDET hakuna mwaka walio kosea tafiti zao hutoa picha ya matokeo ya mwisho
 
Tuchangie kwa takwimu na support nzuri wanayopata viongozi wetu watarajiwa katika mikutano yao ya kampeni.
 
Hubadiliki pamoja na juhudi binafsi za Invisible kuelewesha sheria za JF. Lete hoja na si viroja vitavyokupeleka kwenye server BAN.

Mbona unafata fata watu wewe hebu ishia zako!
 
ccm_header1.jpg

Usifanye makosa October 31st chagua CCM!....
 
Mkuu Mwafrika,

Napenda sana kazi yako! hasa pale temwork na Rev M inapojidhihirisha.!
Keep it up!
 
Halima mdee na J mbatia, wanadaiwa kugawana kura na kumuacha ccm akipeta
Hali kama hiyo ipo na ubngo, Mtatiro na myika
Segerea mpendazoe hoi
Kwa Zitto hali si shwari kabisa hadi anafikia kuilaumu cuf kusimamisha mgombea strong anagawa kura.
Mrema alianza vizuri lakini sasa mambo yamemkalia vibaya sana vunjo
Mtu mzima Mbowe anatumia nguvu nyingi sana lakini hadi sasa hali yake si ya uhakika
Bwana lema mzee wa kigeugeu hapo arusha watu hawana imani nae kabisa sasa anatishia kuua.
Tundu lisu ndio kabisaa hoi sgd.
Mwenye taarifa zaidi aiweke nawasilisha

jamani acheni uongo,huna aibu?mie nipo kigoma leo na nimeshuhudia majimbo yote,Kigoma mjini,mashariki kaskazini kasuru na manyovu chadema iko juu na wapinzani wachache wanajikongongoja sasa hayo umeyatoa nwapi wakati zito jimboni kwake ana asilimia 8o
 
JK anapumulia mashine... mikoa 18 Slaa anaongoza kwa mbali ...

At end of the day he is Tanzanian president and he will be for the next 5 years no doubt about this. Only and if he dies!
 
Back
Top Bottom