Wajue wasanii 30 waliopotea katika musiki huku wakiwa na mashabiki wengi

kuna member wa ECT kama sharifu, lady slay, juma daah hawajamaa nao pia cjui wapo wap
 
Roho saba yupo jeshini, labda tusubiri akistaafu
 

Mbona wengine wapo kwenye gemu na wanafanya vzr tu!mfano mr.Blue
 
Angalia na umri wao hao watu uliowataja. Wengi wao umri umeshawatupa mkono . Wengine walikaa kwenye game zaidi ya miaka 10 na hakuna walichopata mfano kama Snare lee, Snare ...... Hawakuweza kutoa album wala nyimbo iliyobamba. Kumbuka music ni kipaji
Wakati kutoka na kuingiza mkwanja vinahitaji fitna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…