Wajue watu katili zaidi Duniani

hii miamba ndio ilitakiwa ishushwe iongoze tanzania kwa wakati mmoja itunyooshe
Maskini, sio kosa lako ni kitendo cha mababu zetu kuruhusu kutawaliwa na wakoloni ndio imeleta kizazi cha aina hii,

Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu Ibariki Africa.
 
Maskini, sio kosa lako ni kitendo cha mababu zetu kuruhusu kutawaliwa na wakoloni ndio imeleta kizazi cha aina hii,

Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu Ibariki Africa.
Kizazi kipi hiko ?
 
Mmh huyu khomenin alikua hatari mkuu maana aliua yeyote yule aliyetaka kuifanya iran iwe nchi ya kidemokrasia
Mohammad bin Salman kamuua Khashoggi, Israel inaua watu West Bank na Gaza strip. Saudi Arabia inaua watu Yemen, Bush na Blair waliivamia Irak kuondoa silaha za nyuklia ambazo hazikuwepo na kuua watu mpaka leo bado wapo. Libya walimuu Ghaddafi tokea 2011 lakini mpaka sasa hakuna amani wala hakuna serikali. Jeshi ka Uturuki liko uko, Israel ishapeleka silaha, US wana upande wao, Egypt wana upande wao, Italy wana ya kwao, vurugu tupu kama chandimu.

Wote hao waliohusika hakuna anayeitwa gaidi wala muuaji. Ila mpaka leo Ghaddafi anaonekana adui na Bush ni shujaa.
 
mkuu "poor brain" moja ya sababu inayotufanya tusiendelee kama taifa ni ukosefu wa viongozi wa kaliba hii.viongozi wengi ni wafuata mkumbo,kumbuka tukio la mzee wetu wa loliondo mwanzoni tu wizara ya afya ilitahadharisha wananchi wakaanza kulalamika mitaani na mitandaoni ikiwemo humu jf kwamba babu aachwe ila serikali imwandalie mazingira.Hapo serikali ikakosa msimamo
Magufuli anapigania mikataba ya madini itunufaishe watu wanalalamika huku wakimwita kila jina baya na kumwombea mabaya
NAONGEZA SAUTI EEE MWENYEZI MUNGU TURUDISHIE HAO WABABE DUNIANI ILA SAFARI HII WASHUKIE TANZANIA,waungane na huyu tulienae WATUNYOOSHE
 
Yas kifo ndo mbabe wa wote kwa kweli, japo najiulizaga hv inakuaje mtu kuwa na roho ya kikatili kiasi kile. Kwa sasa wapo kama hawa ?
Wengi Sana Kama watu wanawasomesha namba wenzao,wanateka wenzao,wanawabambika wenzao,wanawalaza wenzao ndani miaka 7 eti upelelezi haujakamilika si ndo walewale uzao mmoja.Roho mbaya Mara nyingi utokana hasa Kama mtoto alipatikana kwa madawa ya waganga kule unapewa kiumbe nusu binadamu nusu shetani Kimwili ni mtu kiroho ni shetani.
 
Kuukimbiza tu upepo tangu umeanza kunyooshwa we pasi.Hayo ni mawazo ya uncivilized society.Umewahi ona wapi mwanadamu aliwahifaulu kunyoosha mwanadamu mwenzake
 
Iko wazi usikitamani kiti Cha enzi muulize zito bia kumsahau sumae alikitaka kiti akaambiwa sumu haionjwi hii Kali ya Karne [emoji23][emoji1787][emoji2960]
kwa maana hiyo huo sasa si ni udikteta ndani ya chama mpaka kuuwana mkuu.
watu wa haki za binadamu wako wapi na kukemea uminywaji wa demokrasia ndani ya hiki chama?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ajabu!
 



Mkuu nadhani umesahau kumtaja mjomba wake FaizaFoxy, yule Prince muuwaji wa Saudi Arabia aitwaye Mohammed bin Salman bin Abdulaziz Al Saud. Faiza anajuwa sifa zake zaidi ila hawezi kuja hapa kusema atamtetea tu na kusema anasingiziwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…