Wajue watu katili zaidi Duniani

Hapo namba nne rekebisha maana wakati huo hakukua na watu wanaitwa waisraeli kwasababu hakukua na nchi yenye jina hilo
 
Inawezekana alizaliwa na kukulia huko, remember hiyo Ukraine ilikua ni miongoni mwa vinchi vilivyo ifanya USSR, kimeanza mwanzoni mwa miaka ya 90 hicho ki Ukraine
Hujaona nimeandika Soviet Union!??ninatambua yote uliyoyaelezea lakini Stalin hakutokea Ukraine bali alitokea Georgia

Na hata kama angetokea Ukraine bado hakuwa kiongozi wao bali alikuwa wa Umoja wao mzima wa USSR.


Hivyo basi si Sahihi kusema alikuwa kiongozi wa Georgia kwa kuwa tu alizaliwa huko bali dunia nzima inamkumbuka na inajua alikuwa kiongozi wa pili wa Umoja wa kisovieti yaani(USSR)baada tu ya kifo cha muasisi wake msoshalist Vladmil I Lenin!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi takwimu za Adolph Hitler kuua wayahudi milioni 6 mbona kama kuna ukakasi kulingana na idadi ya wayahudi kipindi hicho
Hapo sasa! ebu tiririka Mkuu usiogope, Mossad hawaji! na kwa nini wauawe wao tu? tajiri anakufa kizembe?
 
Hizi takwimu za Adolph Hitler kuua wayahudi milioni 6 mbona kama kuna ukakasi kulingana na idadi ya wayahudi kipindi hicho
Kweli br.. hata Leo wayshudi wote wakijumlishwa hawafiki 10 milioni,, waliopo Israel + abroad

Sasa ilikuwaje wawe wengi hivyo Ujerumani?
 
Sina uhakika na usemalo mkuu
Kweli Stalin alikuwa kiongozi wa Soviet Russia aliyetokea Jamhuri ya Georgia,, hakuwatesa waukraine tu Bali hata world war 2 veterans waliingizwa jela iitwayo gulag
 
Iwapo itakupendeza mkuu rekebisha mtiririko wa stori yako;

Naona Kama umechanganya Jambo hapo. Unapokua unatumia namba 1,2,3,4... Ni kuonyesha ukubwa wa Jambo husika.

Hapo naona Joseph Stalin anawatu mil 60 anastahili kuwa namba moja kweli Ila ghafla Adolf Hitla akawa namba 4 akiwa kaua watu milioni 6, Alafu namba 3 kaua watu elfu 30.
 
Kuna mmoja wa karibu sana kama kasahaulika basi hii list ni ya kupika...
 
hapo mwaka 1533 mpaka 1547 umekosea halikuwa hajazaliwa
 
Chanzo cha ukatili wao Ni baada ya mama zao kuzembea kwenye malezi Bora utotoni.Mwanamke ndie uibeba dunia so akikosea kwenye malezi Jamii ndio uathirika madikteta wote duniani kuanzia Africa chanzo kikuu ni pale mwanamke alipokosea kwenye malezi kwa kutengeneza bomu baada ya kushindwa kutimiza jukumu la malezi Bora kwa kutoutengeneza ubongo wa mtoto ujae utu,Upendo,amani, thamani na kujitambua nafsi.
 
UMEMSAHAU JIWE KUTOKA CHATTLE!
 
Dunia imepata kuwa na watu wa ajabu sana!
 
Baada ya kukomesha biashara ya watumwa Duniani......hao!! hao wauza watumwa...wakachukua nafasi ya kabila la kiyahudi na kujiita wayahudi...kwa kuwa hao! Hao! watumwa wangedai haki ya kuwa wayahudi...kwa kuwa wanashabiana na utumwa ulioko Bibliani.
So walidai warudishwe Middle East...lkn mabeberu walikataa..na kusisitiza tunawarudisha tulipowatoa yaani west Africa.....maajabu sasa kuwarudisha east africa (ikiwemo Tanzania) ....walipinga huo mpango.. kwa kuwa ni kati ya eneo la Eden.na E.africa ilipigwa vita sana Ili ife lkn ikashindikana mpaka leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…