Wajumbe CHADEMA mkipokea Rushwa mjue ndio itakuwa kifo cha chama chenu

Wajumbe CHADEMA mkipokea Rushwa mjue ndio itakuwa kifo cha chama chenu

kichongeochuma

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2024
Posts
1,669
Reaction score
2,864
1734856998332.jpeg

Wajumbe najua wengi mpo humu na mnasoma haya na mnaziona harakati na vikao vya siri na vya wazi mnavyo endelea navyo huko mafichoni, sasa kama mtajichanganya shauri yenu na heshima ya chama chenu mliyo ijenga miaka yote itapotea kabisa ndiyo mtakuwa mnakiua kama vilivyo kufa vyama vingine.

Mkumbuke kuna watu wameuawa kwa ajili ya kutetea misimamo na imani ya hicho chama chenu, kuna waliolemazwa pia kwa ajili ya kusimamia misimamo ya hicho chama dhid ya udhalim wa serikali sasa kukubali rushwa na pesa za hongo ni kukinajisi sana chama hicho na hasa kwa namna kilivyo jijenga na kilivyo aminiwa huko duniani.
 
Kwa Aina Ya Wajumbe Wa Vyama Vyetu Hivi Vya Siasa Sijaona Wa Kukataa Pesa Akihitajika Kupewa Pesa,,Ukizangatia Na Ka Mwisho Ka Mwaka Haka Wajumbe Hawana Mpango Wa Kukusikiliza Kamwe.
Si nasikia kuna mgombea mmoja wapo alikataa rushwa aliyopekelewa na mwana wa malkia akiwa ameambata na mwanachama wa chama chake au ni porojo zake tu naye.
 

Wajumbe najua wengi mpo humu na mnasoma haya na mnaziona harakati na vikao vya siri na vya wazi mnavyo endelea navyo huko mafichoni, sasa kama mtajichanganya shauri yenu na heshima ya chama chenu mliyo ijenga miaka yote itapotea kabisa ndiyo mtakuwa mnakiua kama vilivyo kufa vyama vingine.

Mkumbuke kuna watu wameuawa kwa ajili ya kutetea misimamo na imani ya hicho chama chenu, kuna waliolemazwa pia kwa ajili ya kusimamia misimamo ya hicho chama dhid ya udhalim wa serikali sasa kukubali rushwa na pesa za hongo ni kukinajisi sana chama hicho na hasa kwa namna kilivyo jijenga na kilivyo aminiwa huko duniani.

Unasema wakipokea? Hawa watakuwa wamesha chukua
 

Wajumbe najua wengi mpo humu na mnasoma haya na mnaziona harakati na vikao vya siri na vya wazi mnavyo endelea navyo huko mafichoni, sasa kama mtajichanganya shauri yenu na heshima ya chama chenu mliyo ijenga miaka yote itapotea kabisa ndiyo mtakuwa mnakiua kama vilivyo kufa vyama vingine.

Mkumbuke kuna watu wameuawa kwa ajili ya kutetea misimamo na imani ya hicho chama chenu, kuna waliolemazwa pia kwa ajili ya kusimamia misimamo ya hicho chama dhid ya udhalim wa serikali sasa kukubali rushwa na pesa za hongo ni kukinajisi sana chama hicho na hasa kwa namna kilivyo jijenga na kilivyo aminiwa huko duniani.
Mods mlicho nifanyia kwenye TITTLE yangu sio poa kabisa pamoja na kwamba mmenidanyishia kwa kuniwekea na kapicha kwa mkazo.
 
Kwa Aina Ya Wajumbe Wa Vyama Vyetu Hivi Vya Siasa Sijaona Wa Kukataa Pesa Akihitajika Kupewa Pesa,,Ukizangatia Na Ka Mwisho Ka Mwaka Haka Wajumbe Hawana Mpango Wa Kukusikiliza Kamwe.
Aliyepanga uchaguzi January alifikiria mengi. Kama vile nawaona wajumbe na jogoo kwapani na ka kilo ka mchele mkononi, huku wanapiga mluzi wa "we wish you a marry Christmas and Happy New Year"
 
Si nasikia kuna mgombea mmoja wapo alikataa rushwa aliyopekelewa na mwana wa malkia akiwa ameambata na mwanachama wa chama chake au ni porojo zake tu naye.
Wajumbe Ndio Huwaga Na Hali Mbaya Hao Wenye Vyeo Wanakunywa Mvinyoo Tu Na Wenye Vyeo Wenzao Huku Wakiwananga Wateja Wao Wanyonge Wakija Mbele Ya Makamera Wanatuhadaa Tu
 
Wewe ukiletewa Mlungula utakataa?
Unajua rushwa ndiyo inasababisha hadi sasa treni yetu SGR inafanyiwa misuko suko ya makusudi?
Unajua rushwa ndiyo inayo pelekea hadi sasa umeme bado hauko stable nchi hii? Unafahamu kwamba rushwa ndiyo inasababisha huduma nyingi za kijamii zipo chini kabisa ya kiwango?
Unafahamu rushwa ndiyo inasababisha tanzania kuwa dampo la bidhaa feki za kichina, madawa feki,vyakula feki na matakataka mengi yanayo sababishia wananchi matatizo ya kiafya?
Unafanu rushwa imazalisha matajiri wakwepa kodi? Kiwanda kinatambulika ni cha kuzalisha yeboyebo lakini ndani zinazalishwa hadi hwanda za jeshi 😂,mada ya kilimo, vitambaa na taka taka nyingi kabisa.

RUSHWA NI ADUI WA HAKI
 
Lissu na yeye awagawie madumu lita tano tano ya alizeti. Labda tu mavuno yasiwe mazuri
 
Baadhi ya wajumbe hao walishaanza kupata mgao tangu hatua za mwanzoni kabisa. Mbaya zaidi huo mgao hautoki kwa FAM tu, bali hata mfumo wanafadhili karibu kila kitu ili kuhakikisha Lissu hachaguliwi kabisa.

Wajumbe wakifanya kosa wakalewa na vijisenti wakamchagua FAM, mimi naamini CHADEMA itakuwa ndo mwisho wake wa kuwa chama kikuu cha upinzani.
FAM hawezi kuongoza mapambano ya kweli ya kushinikiza upatikanaji wa Katiba mpya na Sheria bora za Uchaguzi.
 
Baadhi ya wajumbe hao walishaanza kupata mgao tangu hatua za mwanzoni kabisa. Mbaya zaidi huo mgao hautoki kwa FAM tu, bali hata mfumo wanafadhili karibu kila kitu ili kuhakikisha Lissu hachaguliwi kabisa.

Wajumbe wakifanya kosa wakalewa na vijisenti wakamchagua FAM, mimi naamini CHADEMA itakuwa ndo mwisho wake wa kuwa chama kikuu cha upinzani.
FAM hawezi kuongoza mapambano ya kweli ya kushinikiza upatikanaji wa Katiba mpya na Sheria bora za Uchaguzi.
FAM ameitoa chadema mbali, nini cha kumshinda sasa hivi?
 

Wajumbe najua wengi mpo humu na mnasoma haya na mnaziona harakati na vikao vya siri na vya wazi mnavyo endelea navyo huko mafichoni, sasa kama mtajichanganya shauri yenu na heshima ya chama chenu mliyo ijenga miaka yote itapotea kabisa ndiyo mtakuwa mnakiua kama vilivyo kufa vyama vingine.

Mkumbuke kuna watu wameuawa kwa ajili ya kutetea misimamo na imani ya hicho chama chenu, kuna waliolemazwa pia kwa ajili ya kusimamia misimamo ya hicho chama dhid ya udhalim wa serikali sasa kukubali rushwa na pesa za hongo ni kukinajisi sana chama hicho na hasa kwa namna kilivyo jijenga na kilivyo aminiwa huko duniani.
Kumbe ni kweli rushwa ni adui wa haki
 
Back
Top Bottom