Wajumbe CHADEMA mkipokea Rushwa mjue ndio itakuwa kifo cha chama chenu

Wajumbe CHADEMA mkipokea Rushwa mjue ndio itakuwa kifo cha chama chenu

Baadhi ya wajumbe hao walishaanza kupata mgao tangu hatua za mwanzoni kabisa. Mbaya zaidi huo mgao hautoki kwa FAM tu, bali hata mfumo wanafadhili karibu kila kitu ili kuhakikisha Lissu hachaguliwi kabisa.

Wajumbe wakifanya kosa wakalewa na vijisenti wakamchagua FAM, mimi naamini CHADEMA itakuwa ndo mwisho wake wa kuwa chama kikuu cha upinzani.
FAM hawezi kuongoza mapambano ya kweli ya kushinikiza upatikanaji wa Katiba mpya na Sheria bora za Uchaguzi.
Achana na propaganda uchwara dogo. Wewe ni nani kuwalecture wajumbe? After all unachoongea ni hisia zako ovu tu, huna hata chembe ya ushahidi.
 
Baadhi ya wajumbe hao walishaanza kupata mgao tangu hatua za mwanzoni kabisa. Mbaya zaidi huo mgao hautoki kwa FAM tu, bali hata mfumo wanafadhili karibu kila kitu ili kuhakikisha Lissu hachaguliwi kabisa.

Wajumbe wakifanya kosa wakalewa na vijisenti wakamchagua FAM, mimi naamini CHADEMA itakuwa ndo mwisho wake wa kuwa chama kikuu cha upinzani.
FAM hawezi kuongoza mapambano ya kweli ya kushinikiza upatikanaji wa Katiba mpya na Sheria bora za Uchaguzi.
Mwenyekiti kama Mwenyekiti
Watoto wa Mama.jpg
 
Rushwa ni marufuku,ila wajumbe watapata hudumu zifuatazo:
1. Nauli ya basi kwenda na kurudi
2. Malazi kwa diku mbili,kulipiwa
3. Allowance ya wajumbe kwa siku mbili
4. Chakula na vinywaji baridi
5. Ulinzi wa kutosha wakati wa kupiga kura na wakati wa kutangaza matokeo
6. Sare ni Bure,watapewa
7. Katiba ya chama,miongozo na kanuni za uchaguzi watapewa Bure.
8. Vocha za simu na mabando kwa wajumbe wote.
9. Simu za smart phone,kwa ajili ya kusajilia wanachama kata,wilaya ,mkoa na Kanda.
 

Wajumbe najua wengi mpo humu na mnasoma haya na mnaziona harakati na vikao vya siri na vya wazi mnavyo endelea navyo huko mafichoni, sasa kama mtajichanganya shauri yenu na heshima ya chama chenu mliyo ijenga miaka yote itapotea kabisa ndiyo mtakuwa mnakiua kama vilivyo kufa vyama vingine.

Mkumbuke kuna watu wameuawa kwa ajili ya kutetea misimamo na imani ya hicho chama chenu, kuna waliolemazwa pia kwa ajili ya kusimamia misimamo ya hicho chama dhid ya udhalim wa serikali sasa kukubali rushwa na pesa za hongo ni kukinajisi sana chama hicho na hasa kwa namna kilivyo jijenga na kilivyo aminiwa huko duniani.
Mbona CCM hajafa na imetoa rushwa miaka 63
 
Back
Top Bottom