Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Kwema Wakuu!
Kadiri siku ziendavyo mioyo ya watu waliobakia kwa Mbowe inazidi Kufa na wanaamua kujisalimisha kwa kuamua kumpumzisha Mwenyekiti ili kukinusuru chama.
Kila siku lazima atoke mwanachama wa CHADEMA aliyekuwa na wadhifa kumuunga Mkono Lisu. Jambo hilo linazidi kuwakatisha tamaa Team Mbowe.
Wajumbe nao waliokuwa Njia panda wakijiuliza inakuwaje CCM ambao tunataka waachie Dola Leo hii wamuunge Mkono Mbowe kuendelea kugombea uenyekiti.
Hii imewapa mashaka makubwa kuwa huenda chama Chao(CHADEMA) Kinaenda kuwa CCM B.
Wajumbe wengi hasa wa Kanda ya Ziwa, Kusini, Magharibi na Mashariki wameazimia kukinusuru Chama kwa kumpumzisha Mbowe ili astaafu na abaki kama mshauri wa Chama.
Kama kina ChoiceVariable chiembe Lucas Mwashambwa Tlaatlaah Leo wapo upande wa Mbowe CHADEMA wanahitaji kujitafakari Sana.
Ngoja tuone
Kadiri siku ziendavyo mioyo ya watu waliobakia kwa Mbowe inazidi Kufa na wanaamua kujisalimisha kwa kuamua kumpumzisha Mwenyekiti ili kukinusuru chama.
Kila siku lazima atoke mwanachama wa CHADEMA aliyekuwa na wadhifa kumuunga Mkono Lisu. Jambo hilo linazidi kuwakatisha tamaa Team Mbowe.
Wajumbe nao waliokuwa Njia panda wakijiuliza inakuwaje CCM ambao tunataka waachie Dola Leo hii wamuunge Mkono Mbowe kuendelea kugombea uenyekiti.
Hii imewapa mashaka makubwa kuwa huenda chama Chao(CHADEMA) Kinaenda kuwa CCM B.
Wajumbe wengi hasa wa Kanda ya Ziwa, Kusini, Magharibi na Mashariki wameazimia kukinusuru Chama kwa kumpumzisha Mbowe ili astaafu na abaki kama mshauri wa Chama.
Kama kina ChoiceVariable chiembe Lucas Mwashambwa Tlaatlaah Leo wapo upande wa Mbowe CHADEMA wanahitaji kujitafakari Sana.
Ngoja tuone