Wajumbe hawatakubali CHADEMA iwe CCM B kwa kumchagua Mbowe. CCM wanamuunga Mkono Mbowe hadharani alafu Wajumbe nao wamchague Mbowe labda wawe Nyumbu

Wajumbe hawatakubali CHADEMA iwe CCM B kwa kumchagua Mbowe. CCM wanamuunga Mkono Mbowe hadharani alafu Wajumbe nao wamchague Mbowe labda wawe Nyumbu

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Kadiri siku ziendavyo mioyo ya watu waliobakia kwa Mbowe inazidi Kufa na wanaamua kujisalimisha kwa kuamua kumpumzisha Mwenyekiti ili kukinusuru chama.

Kila siku lazima atoke mwanachama wa CHADEMA aliyekuwa na wadhifa kumuunga Mkono Lisu. Jambo hilo linazidi kuwakatisha tamaa Team Mbowe.

Wajumbe nao waliokuwa Njia panda wakijiuliza inakuwaje CCM ambao tunataka waachie Dola Leo hii wamuunge Mkono Mbowe kuendelea kugombea uenyekiti.
Hii imewapa mashaka makubwa kuwa huenda chama Chao(CHADEMA) Kinaenda kuwa CCM B.

Wajumbe wengi hasa wa Kanda ya Ziwa, Kusini, Magharibi na Mashariki wameazimia kukinusuru Chama kwa kumpumzisha Mbowe ili astaafu na abaki kama mshauri wa Chama.

Kama kina ChoiceVariable chiembe Lucas Mwashambwa Tlaatlaah Leo wapo upande wa Mbowe CHADEMA wanahitaji kujitafakari Sana.

Ngoja tuone
 
Mbowe ni jabali la siasa za upinzani Tanzania. Lazima tumuunge mkono bila kujali itikadi zetu. Lissu ni adui wa demokrasia na kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA.
 
Kwema Wakuu!

Kadiri siku ziendavyo mioyo ya watu waliobakia kwa Mbowe inazidi Kufa na wanaamua kujisalimisha kwa kuamua kumpumzisha Mwenyekiti ili kukinusuru chama.

Kila siku lazima atoke mwanachama wa CHADEMA aliyekuwa na wadhifa kumuunga Mkono Lisu. Jambo hilo linazidi kuwakatisha tamaa Team Mbowe.

Wajumbe nao waliokuwa Njia panda wakijiuliza inakuwaje CCM ambao tunataka waachie Dola Leo hii wamuunge Mkono Mbowe kuendelea kugombea uenyekiti.
Hii imewapa mashaka makubwa kuwa huenda chama Chao(CHADEMA) Kinaenda kuwa CCM B.

Wajumbe wengi hasa wa Kanda ya Ziwa, Kusini, Magharibi na Mashariki wameazimia kukinusuru Chama kwa kumpumzisha Mbowe ili astaafu na abaki kama mshauri wa Chama.

Kama kina ChoiceVariable chiembe Lucas Mwashambwa Tlaatlaah Leo wapo upande wa Mbowe CHADEMA wanahitaji kujitafakari Sana.

Ngoja tuone
CHADEMA haiwezi mchagua Mbowe hata kwa kujaribu tu
 
Hata wajumbe wakimchagua Tundu Lisu atakayetangazwa ni Mbowe

Ilishafanyika Kwa Nyalandu Sasa ni marudio tu 😄
 
Kwema Wakuu!

Kadiri siku ziendavyo mioyo ya watu waliobakia kwa Mbowe inazidi Kufa na wanaamua kujisalimisha kwa kuamua kumpumzisha Mwenyekiti ili kukinusuru chama.

Kila siku lazima atoke mwanachama wa CHADEMA aliyekuwa na wadhifa kumuunga Mkono Lisu. Jambo hilo linazidi kuwakatisha tamaa Team Mbowe.

Wajumbe nao waliokuwa Njia panda wakijiuliza inakuwaje CCM ambao tunataka waachie Dola Leo hii wamuunge Mkono Mbowe kuendelea kugombea uenyekiti.
Hii imewapa mashaka makubwa kuwa huenda chama Chao(CHADEMA) Kinaenda kuwa CCM B.

Wajumbe wengi hasa wa Kanda ya Ziwa, Kusini, Magharibi na Mashariki wameazimia kukinusuru Chama kwa kumpumzisha Mbowe ili astaafu na abaki kama mshauri wa Chama.

Kama kina ChoiceVariable chiembe Lucas Mwashambwa Tlaatlaah Leo wapo upande wa Mbowe CHADEMA wanahitaji kujitafakari Sana.

Ngoja tuone
mbowe amepoteza mvuto wa kisiasa
 
Kwema Wakuu!

Kadiri siku ziendavyo mioyo ya watu waliobakia kwa Mbowe inazidi Kufa na wanaamua kujisalimisha kwa kuamua kumpumzisha Mwenyekiti ili kukinusuru chama.

Kila siku lazima atoke mwanachama wa CHADEMA aliyekuwa na wadhifa kumuunga Mkono Lisu. Jambo hilo linazidi kuwakatisha tamaa Team Mbowe.

Wajumbe nao waliokuwa Njia panda wakijiuliza inakuwaje CCM ambao tunataka waachie Dola Leo hii wamuunge Mkono Mbowe kuendelea kugombea uenyekiti.
Hii imewapa mashaka makubwa kuwa huenda chama Chao(CHADEMA) Kinaenda kuwa CCM B.

Wajumbe wengi hasa wa Kanda ya Ziwa, Kusini, Magharibi na Mashariki wameazimia kukinusuru Chama kwa kumpumzisha Mbowe ili astaafu na abaki kama mshauri wa Chama.

Kama kina ChoiceVariable chiembe Lucas Mwashambwa Tlaatlaah Leo wapo upande wa Mbowe CHADEMA wanahitaji kujitafakari Sana.

Ngoja tuone
wakati hao wajumbe wanaojiita wastaafu wakati wamekataliwa kwenye sanduku la kura kwakua hakuna walilofanya tangu wawe viongozi,

wenyeviti wa wa kanda zote 10 za kiutawala chadema, wanamuunga mkono mwamba wa kaskazini, huku wenyeviti wa mikoa yote, wilaya na kata zote nchini, wakiwa na nia na dhamira kama za wenyeviti wao wa kanda,

huku wakiapa kuhakikisha,
wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa wote katika umoja wao, wanamchagua kwa kishindo kikuu, mzalendo asie na shaka, statesman, mwamba wa kaskazini Freeman Aikaeli Mbowe,

na kuhakikisha wana kata mdomo na makelele ya kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwa uhuru, haki na uwazi, ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia za midomo na makelele nchini 🐒
 
wakati hao wajumbe wanaojiita wastaafu wakati wamekataliwa kwenye sanduku la kura kwakua hakuna walilofanya tangu wawe viongozi,

wenyeviti wa wa kanda zote 10 za kiutawala chadema, wanamuunga mkono mwamba wa kaskazini, huku wenyeviti wa mikoa yote, wilaya na kata zote nchini, wakiwa na nia na dhamira kama za wenyeviti wao wa kanda,

huku wakiapa kuhakikisha,
wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa wote katika umoja wao, wanamchagua kwa kishindo kikuu, mzalendo asie na shaka, statesman, mwamba wa kaskazini Freeman Aikaeli Mbowe,

na kuhakikisha wana kata mdomo na makelele ya kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwa uhuru, haki na uwazi, ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia za midomo na makelele nchini 🐒
wakati hao wajumbe wanaojiita wastaafu wakati wamekataliwa kwenye sanduku la kura kwakua hakuna walilofanya tangu wawe viongozi,

wenyeviti wa wa kanda zote 10 za kiutawala chadema, wanamuunga mkono mwamba wa kaskazini, huku wenyeviti wa mikoa yote, wilaya na kata zote nchini, wakiwa na nia na dhamira kama za wenyeviti wao wa kanda,

huku wakiapa kuhakikisha,
wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa wote katika umoja wao, wanamchagua kwa kishindo kikuu, mzalendo asie na shaka, statesman, mwamba wa kaskazini Freeman Aikaeli Mbowe,

na kuhakikisha wana kata mdomo na makelele ya kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwa uhuru, haki na uwazi, ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia za midomo na makelele nchini 🐒

Wajumbe lazima wakinusuru Chama. Hawatarudi nyuma
 
Mbowe ameandaa wapiga kura na aliowandaa tajiri kusimamia uchaguzi ni watiifu kwa mwekezaji .


Huenda lisu amejipanga kuhesabu kura...... Karatasi zitatangulia ndani ya chumba na Lisu atacheleweshwa kuingia ukumbini kwa makusudi.

Huu ndio muda mwafaka WA CCM kuwachezea ili ifikapo Aug 2025 iwe rahisi kuwaengue madiwani na wabunge Kisha Oktoba wakurugenzi na maRPC wanamaluzia kipande kilichosalia.
 
Wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema wakikubali kumpa kura mbowe,wawe tayari kwa magumu uchaguzi mkuu 2025.
 
Ni rahisi Sana kwa Ngamia kupenya katika tundu la sindano kuliko Lissu kumshinda Mwamba na Jabali la siasa za Upinzani hapa Nchini Mheshimiwa Freeman Mbowe. Ni Rahisi kwa Tanzania kufuzu kombe na Dunia na kubeba Ubingwa kuliko Mwamba kudondoka na kushindwa kutetea kiti chake.
 
Ni rahisi Sana kwa Ngamia kupenya katika tundu la sindano kuliko Lissu kumshinda Mwamba na Jabali la siasa za Upinzani hapa Nchini Mheshimiwa Freeman Mbowe. Ni Rahisi kwa Tanzania kufuzu kombe na Dunia na kubeba Ubingwa kuliko Mwamba kudondoka na kushindwa kutetea kiti chake.
Kuna missed call yako hapa kunguni wa mama Abdul.
chrome_screenshot_22 Dec 2024 12_26_57 GMT+03_00.png
 
Kwa hali ilivyo ndani ya Chadema kumchagua Mbowe ni sawa na kuonja sumu kwa ulimi.
 
Mbowe ameandaa wapiga kura na aliowandaa tajiri kusimamia uchaguzi ni watiifu kwa mwekezaji .


Huenda lisu amejipanga kuhesabu kura...... Karatasi zitatangulia ndani ya chumba na Lisu atacheleweshwa kuingia ukumbini kwa makusudi.

Huu ndio muda mwafaka WA CCM kuwachezea ili ifikapo Aug 2025 iwe rahisi kuwaengue madiwani na wabunge Kisha Oktoba wakurugenzi na maRPC wanamaluzia kipande kilichosalia.
Wafuasi wa Lissu wanadhani haya mambo ni rahisi. Mambo ya uchaguzi huwa sio poa. Shigongo anadai mwaka 2010 kule Buchosa alishaona kabisa anachaguliwa na wajumbe kupeperusha bendera ya CCM kwenye ubunge ila hiyo siku ya kuhesabu kura na mshindi kutangazwa akajikuta amepata uchovu wa ghafla na usingizi kumpitia. Kuja kuamka mshindi ni Dr Tizeba.
 
Kwema Wakuu!

Kadiri siku ziendavyo mioyo ya watu waliobakia kwa Mbowe inazidi Kufa na wanaamua kujisalimisha kwa kuamua kumpumzisha Mwenyekiti ili kukinusuru chama.

Kila siku lazima atoke mwanachama wa CHADEMA aliyekuwa na wadhifa kumuunga Mkono Lisu. Jambo hilo linazidi kuwakatisha tamaa Team Mbowe.

Wajumbe nao waliokuwa Njia panda wakijiuliza inakuwaje CCM ambao tunataka waachie Dola Leo hii wamuunge Mkono Mbowe kuendelea kugombea uenyekiti.
Hii imewapa mashaka makubwa kuwa huenda chama Chao(CHADEMA) Kinaenda kuwa CCM B.

Wajumbe wengi hasa wa Kanda ya Ziwa, Kusini, Magharibi na Mashariki wameazimia kukinusuru Chama kwa kumpumzisha Mbowe ili astaafu na abaki kama mshauri wa Chama.

Kama kina ChoiceVariable chiembe Lucas Mwashambwa Tlaatlaah Leo wapo upande wa Mbowe CHADEMA wanahitaji kujitafakari Sana.

Ngoja tuone
unajuwa hela wewe?au unasema tu?
 
Wafuasi wa Lissu wanadhani haya mambo ni rahisi. Mambo ya uchaguzi huwa sio poa. Shigongo anadai mwaka 2010 kule Buchosa alishaona kabisa anachaguliwa na wajumbe kupeperusha bendera ya CCM kwenye ubunge ila hiyo siku ya kuhesabu kura na mshindi kutangazwa akajikuta amepata uchovu wa ghafla na usingizi kumpitia. Kuja kuamka mshindi ni Dr Tizeba.
2015 Jimbo x nikiwa chawa mkuu WA mgombea.....


Hadi saa2 usiku mgombea wangu anaongoza kwa kura, akiwa na 7000+, WA pili 4000. Nikipikea kutoka kwa mawakaka vituoni

Cha kushangaza kufika saa5 usiku wakala aliyeko ofisi ya Chama anatwambia mgombea wetu amepata kura 3,007 akawa WA tatu na mshundi ana kura 20,000+ nikachoka.

Sijui walichezaje huu mchezo. Sikuwalipa mawakala na niliowatumua kwa simu nilianza kuirudisha miamala.


Uchaguzi ni sayansi kuliko physics.
 
Kwema Wakuu!

Kadiri siku ziendavyo mioyo ya watu waliobakia kwa Mbowe inazidi Kufa na wanaamua kujisalimisha kwa kuamua kumpumzisha Mwenyekiti ili kukinusuru chama.

Kila siku lazima atoke mwanachama wa CHADEMA aliyekuwa na wadhifa kumuunga Mkono Lisu. Jambo hilo linazidi kuwakatisha tamaa Team Mbowe.

Wajumbe nao waliokuwa Njia panda wakijiuliza inakuwaje CCM ambao tunataka waachie Dola Leo hii wamuunge Mkono Mbowe kuendelea kugombea uenyekiti.
Hii imewapa mashaka makubwa kuwa huenda chama Chao(CHADEMA) Kinaenda kuwa CCM B.

Wajumbe wengi hasa wa Kanda ya Ziwa, Kusini, Magharibi na Mashariki wameazimia kukinusuru Chama kwa kumpumzisha Mbowe ili astaafu na abaki kama mshauri wa Chama.

Kama kina ChoiceVariable chiembe [B]Lucas Mwashambw[/B]a Tlaatlaah Leo wapo upande wa Mbowe CHADEMA wanahitaji kujitafakari Sana.

Ngoja tuone
Huyu tapeli ni kampeni meneja wa Mbowe siku hizi
 
Back
Top Bottom