Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Kwani kura watapigishwa?Wasalaam,
Kuna taarifa za uhakika kutoka kwa mjumbe mmoja wa kamati kuu kwamba ccm wameingilia kati uchaguzi kwa lengo la kuhakikisha mbowe anashinda na wajumbe wengi wametumiwa miamala kwa simu zao ili wamchague mbowe. Inasemekana kutokana na njaa kali ya January hii wajumbe wengi wameamua kuchagua matumbo yao na kumtosa TL japo roho zinawauma na wamebaki njia panda hawaelewi kipi ni bora kwao. Hvyo mpaka hapa tulipo mbowe ameshashinda asilimia 50 kesho ni kumalizia tu ifike 89
Ila team Lissu mna midomo aisee…. Mitandao ingekua inapiga kura……Wasalaam,
Kuna taarifa za uhakika kutoka kwa mjumbe mmoja wa kamati kuu kwamba ccm wameingilia kati uchaguzi kwa lengo la kuhakikisha mbowe anashinda na wajumbe wengi wametumiwa miamala kwa simu zao ili wamchague mbowe. Inasemekana kutokana na njaa kali ya January hii wajumbe wengi wameamua kuchagua matumbo yao na kumtosa TL japo roho zinawauma na wamebaki njia panda hawaelewi kipi ni bora kwao. Hvyo mpaka hapa tulipo mbowe ameshashinda asilimia 50 kesho ni kumalizia tu ifike 89
Kwa akili za wajumbe huwezi kuzipima akili zaoKwani kura watapigishwa?
hakuna mjumbe wa mkutano mkuu anaweza kumchagua kibaraka aombaomba na mtetezi wa ufirauni kana kwamba ni haki kwa vijanaWasalaam,
Kuna taarifa za uhakika kutoka kwa mjumbe mmoja wa kamati kuu kwamba ccm wameingilia kati uchaguzi kwa lengo la kuhakikisha mbowe anashinda na wajumbe wengi wametumiwa miamala kwa simu zao ili wamchague mbowe. Inasemekana kutokana na njaa kali ya January hii wajumbe wengi wameamua kuchagua matumbo yao na kumtosa TL japo roho zinawauma na wamebaki njia panda hawaelewi kipi ni bora kwao. Hvyo mpaka hapa tulipo mbowe ameshashinda asilimia 50 kesho ni kumalizia tu ifike 89
Pesa unakula na kura utoi kwani waliombwa hizo pesa zao,,Wasalaam,
Kuna taarifa za uhakika kutoka kwa mjumbe mmoja wa kamati kuu kwamba ccm wameingilia kati uchaguzi kwa lengo la kuhakikisha mbowe anashinda na wajumbe wengi wametumiwa miamala kwa simu zao ili wamchague mbowe. Inasemekana kutokana na njaa kali ya January hii wajumbe wengi wameamua kuchagua matumbo yao na kumtosa TL japo roho zinawauma na wamebaki njia panda hawaelewi kipi ni bora kwao. Hvyo mpaka hapa tulipo mbowe ameshashinda asilimia 50 kesho ni kumalizia tu ifike 89
Tukishakula vyao tukapige kura zetu za siri, tumchague wa rohoni,Wasalaam,
Kuna taarifa za uhakika kutoka kwa mjumbe mmoja wa kamati kuu kwamba ccm wameingilia kati uchaguzi kwa lengo la kuhakikisha mbowe anashinda na wajumbe wengi wametumiwa miamala kwa simu zao ili wamchague mbowe. Inasemekana kutokana na njaa kali ya January hii wajumbe wengi wameamua kuchagua matumbo yao na kumtosa TL japo roho zinawauma na wamebaki njia panda hawaelewi kipi ni bora kwao. Hvyo mpaka hapa tulipo mbowe ameshashinda asilimia 50 kesho ni kumalizia tu ifike 89
Umetumiwa nini na wewe...Mbowe sio mtano ni "ishirini tena"
Bado, vipi nisubirie?😁Umetumiwa nini na wewe...
Achana na za Mbowe, subiria za uchaguzi mkuu, ndiyo nyingi...Bado, vipi nisubirie?😁
Mi nataka bajaji ya mama, naona pikipiki Lucas Mwashambwa alininyima na najua anazo tatuAchana na za Mbowe, subiria za uchaguzi mkuu, ndiyo nyingi...
Hatutaki maneno ya kwenye kangaWasalaam,
Kuna taarifa za uhakika kutoka kwa mjumbe mmoja wa kamati kuu kwamba ccm wameingilia kati uchaguzi kwa lengo la kuhakikisha mbowe anashinda na wajumbe wengi wametumiwa miamala kwa simu zao ili wamchague mbowe. Inasemekana kutokana na njaa kali ya January hii wajumbe wengi wameamua kuchagua matumbo yao na kumtosa TL japo roho zinawauma na wamebaki njia panda hawaelewi kipi ni bora kwao. Hvyo mpaka hapa tulipo mbowe ameshashinda asilimia 50 kesho ni kumalizia tu ifike 89
Subiri upewe fungu la kwenda kugawia majirani, lakini unawapikia pilau na kuwaweka singeli imetoka wewe unaenda kumalizia nyumba yako..Mi nataka bajaji ya mama, naona pikipiki Lucas Mwashambwa alininyima na najua anazo tatu