Tetesi: Wajumbe mkutano mkuu CHADEMA wapokea bahasha nono, Mbowe mitano tena

TAL hakujipanga....Anapigwa za USO kesho saa nne tu asubuhi.
 
RUSHWA ni ADUI wa HAKI! Ndugu mjumbe jee unataka CHADEMA kipuuzwe na Watanzania?! Mleteni Mbowe...


Propessa Lipumba alichagua RUSHWA kutoka CCM angalieni anavyong'aa macho baada kupuuzwa.
 
Kauli ni ileile kulala machame, kula ni ikungi.Ukipewa bahasha chukua, kura ni kuwanyima tu
 
kitu hamjui ni kuwa Lisu hatakiwi tanzania.
hatakiwi kwa sababu ni mtukanaji wa viongozi na serikali.

CCM ndo inaongoza serikali hawawezi kusababisha awe kiongozi tena msemaji mkuu si atamtukana hadi Mungu.

alimtukana Nyerere atamuogopa Samia?

hivyo kiuhalisia lisu hawezi kushinda na sisi wananchi hatutaki mtu mtukanaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…