Wajumbe MMK Chadema kuwa Mabilionea kuelekea January 21

Wajumbe MMK Chadema kuwa Mabilionea kuelekea January 21

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Napenda niwaoenyezee tu...

Mbughi ya Uenyekiti CDM sio siasa ya kawaida, ni kama kudai uhuru mwaka 1961.

Ni vita kubwa ya siasa niliyowahi kuiona toka siasa za vyama vingi nchini Mwaka 1995.

Mikakati ya kumchomoa Mbowe sio ya kitoto huko Clubhouse na whatsap groups,

Bahati nzuri sana ni kwamba kote nipo nakula madini ya wana mikakati wa Kitaifa na Kimataifa..

Sidhani kama tutawahi kuona siasa ya namna hii pengin kwenye Ujana wetu pengine labda miaka 20 baadae.

Kuna Chamber moja ya CH wamehudhuria memba zaidi ya mianne na fund raising target ni 500k kwa kila diaspora..

Hesabu za haraka haraka si chini ya Mil 600 kukusanywa ..

Wengi wanasema wajumbe inabid watafutwe mmoja mmoja, apewe maelekezo na aseme mahitaji yake aweze kupiga kura ya Ndio kwa Masiah mpya wa CDM..

Mikakati ni mingi, mingine ipo wazi mingine ya siri sirini

Huko CH kuna chamber zinakesha kujadili mustakabali na namna pekee ya kumsimika masihi mpya

Kwa upande wa aliepo naambiwa fedha zipo za kutosha, wajumbe wsnaweza kutoweka kwa muda pengine wa wiki moja wakaibuka kwenye mkutano.

Mambo ni mengi, ila hawa watu 1200 wawe makini, mpango wa kuwafanya mabilionea unachemka na umefika pazuri sana .

Leo saa nne tuna mkutano na Mesiah mpya, mambo imechemka.

Demokrasia hii ya CDM kipindi hiki sio danganya toto..

Hawa waliosusa, kuzira na kuacha kula watastaajabu sana muda si mrefu ...

Siasa ya CDM itachukua Muelekeo mpya kuelekea Jan End 2025.

Pengine ikawa standard ya siasa zetu za vyama huko mbeleni.

Hoja yangu ni kwamba, Wajumbe wa mkutano mkuu CDM kwa sasa ni lulu, watu wapo busy kwenye inbox zao...
Screenshot_20241223-212212.png
 
Kwani umbea unakusaidia nini mkuu.. nyie chadema yenu mnaiua kwa maneno ya chuki. Watu wa chadema mnachuki sana na mambo ya watu. Ona sasa wenyewe kwa wenyewe.

1.Mbona chat inaonyesha watu hawajakubali laki tano.
2. Hao watakuaje mabilionea wakati mchango tu ni milioni 600. Wqpiga kura 1300 wakigawanyiwa hiyo ni hela chache sana.

Walau inabidi wachange trilioni kadhaa hao diaspora ili hawa wajumbe wawe mabilionea.
Umbea unakusaidia nini. Ungebaki na hii habari ww ingekuuma nn.
 
Kwani umbea unakusaidia nini mkuu.. nyie chadema yenu mnaiua kwa maneno ya chuki. Watu wa chadema mnachuki sana na mambo ya watu. Ona sasa wenyewe kwa wenyewe.

1.Mbona chat inaonyesha watu hawajakubali laki tano.
2. Hao watakuaje mabilionea wakati mchango tu ni milioni 600. Wqpiga kura 1300 wakigawanyiwa hiyo ni hela chache sana.

Walau inabidi wachange trilioni kadhaa hao diaspora ili hawa wajumbe wawe mabilionea.
Umbea unakusaidia nini. Ungebaki na hii habari ww ingekuuma nn.
 
Kwani umbea unakusaidia nini mkuu.. nyie chadema yenu mnaiua kwa maneno ya chuki. Watu wa chadema mnachuki sana na mambo ya watu. Ona sasa wenyewe kwa wenyewe.

1.Mbona chat inaonyesha watu hawajakubali laki tano.
2. Hao watakuaje mabilionea wakati mchango tu ni milioni 600. Wqpiga kura 1300 wakigawanyiwa hiyo ni hela chache sana.

Walau inabidi wachange trilioni kadhaa hao diaspora ili hawa wajumbe wawe mabilionea.
Umbea unakusaidia nini. Ungebaki na hii habari ww ingekuuma nn.
Umbea wakati ni mikakati tu mkuu
 
Wakat mna bloc kila mtu mwenye mawazo tofaut kwenye space zenu mtasubir zamu yenu mkuu.
Baada ya kugawa mabilioni tarehe 21 tukutane tena Feb 25
Mm sio chadema fatilia humu, Mimi ni sisiemu, Babu yangu, baba yake, na baba yangu nami ni CCM born and raised.
Hizi takataka zako za chadema ubaki nazo mwenyewe, nimekueleza tu kama kukwambia uhalisia na ulichoandika. Kama unaamini endelea. Ndio maana nimekuaga.
Mimi najua chadema hamna kitu from the very first day nimepata akili ya kupambanua vitu. Usiku mwema mwana chadema
 
Mm sio chadema fatilia humu, Mimi ni sisiemu, Babu yangu, baba yake, na baba yangu nami ni CCM born and raised.
Hizi takataka zako za chadema ubaki nazo mwenyewe, nimekueleza tu kama kukwambia uhalisia na ulichoandika. Kama unaamini endelea. Ndio maana nimekuaga.
Mimi najua chadema hamna kitu from the very first day nimepata akili ya kupambanua vitu. Usiku mwema mwana chadema
Naona migambo wa ccm mnaruka na kukanyagana.
 
Naona migambo wa ccm mnaruka na kukanyagana.
Eenh enh. Umebadirsha gia angani. Tunafuraha sio. Mabwege nyie tulieni tukutane 2025, sisi vita yenu haituhusu. Sisi tunajiandaa kuwatoa knockout chaguzi za taifa tu.
 
Mimi simpendi Ayatollah Mbowe kwasababu amekaa muda mrefu na akashinda kutengeneza succession plan. Pia SIMKUBALI KABISA Lissu kwasababu ndio anakwenda kuizika rasmi chadema. Mchagueni Lissu halafu muitunze hii sms yangu! Mtanikumbuka!
 
Back
Top Bottom