Pre GE2025 Wajumbe: Tumepewa hela ili tumchague Mbowe, sisi tunamtaka Lissu

Pre GE2025 Wajumbe: Tumepewa hela ili tumchague Mbowe, sisi tunamtaka Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu

Katibu wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilaya ya Kahama Samwel Peter akieleza namna gani wajumbe wa mkutano Mkuu wa Chama hicho wamekuwa wakishawishiwa kwa fedha kuelekea uchaguzi wa chama hicho unaoendelea kufanyika muda huu katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam
View attachment 3209162
Duh,wewe si mpigakura tumekugundua.
 
Sasa Mbowe anaamkia wajumbe "shkamoni wajumbe "!!

Amenikumbusha mgombea mmoja Mzee wa CCM alikuwa akiamkia Hadi watoto wa shule za msingi kisa kura!!
 
Anasema amepewa nauli ya kuhudhuria kikao ambayo anadai kuwa ni rushwa. Kwa vile anasema kuwa msimamo wake na wa wenzake ni kuwa lazima Lissu ashinde ulikuwa wazi, kwa nini Mbowe ampe nauli ili aje kumpigia kura Lissu?

Kweli " stupid is as stupid does".

Amandla...
Akili zao kama mgombea wao
 
Sultan Mbowe Bin King'ang'anizi alivyo dikteta akifanikisha magumashi yake ya kuwa mwenyekiti inabidi jamaa ajivue uanachama
 
Huyu ji team Lissu katumwa.

Hawa watu wanaexaggerate mpaka inatia wasiwasi kama wanaongea ta kweli.Takukuru inabidi wawakamate hao watu watoe ushahidi.

Wakati wao wanalalama Lissu anaonekana kama vile ameridhika na process nzima. Anyway, all in all, mabadiriko Chadema ni muhimu. Yataondoa ile zana ya business as usual waliyoizoea CCM.
 
Back
Top Bottom