Anasema amepewa nauli ya kuhudhuria kikao ambayo anadai kuwa ni rushwa. Kwa vile anasema kuwa msimamo wake na wa wenzake ni kuwa lazima Lissu ashinde ulikuwa wazi, kwa nini Mbowe ampe nauli ili aje kumpigia kura Lissu?
Kweli " stupid is as stupid does".
Amandla...