Wajumbe: Tunamtaka Samwel Sitta

Mzee Tupa Tupa uko vizuri kwa kutuletea News za kutoka Dom kwenye Bunge la Katiba Japo unaonekana wewe u Gamba Sugu lenye sumu kali.
 


Haya mkuu acha hayo WEHU wajipange tuona mtanange wiki ijayo .
 
Kamanda Royals,WAHU ina Wajumbe toka vyama vyote na Taasisi zote hapa Dodoma Bungeni.Sasa wamefika 300

Mzee Tupatupa
Mzee Tupatupa.
Ikiwa wajumbe watajenga misimamo kama hii, na jana kuna au juzi kulikiwa na bandiko la akina "tunataka katiba ya wananchi" ikiwa Sita atapita, na ikiwa wale wanaokomalia "kura zisizo na nguo" wakishindwa si huo utakuwa ndio mwanzo wa kuzaliwa taifa jipya lenye nguvu na mshikamano mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Sitta , chama kitamwambia sasa huu ni wakati wa Mwanamke .....Asha atakatiza ........
 
Hii imekaa vizuri sana. Apewe Mh. Sitta lakini pia ajue hiki ni kipimo kizuri kwake kama kweli anafaa au hatufai kama ataingia kwenye kile kinyang'anyiro cha kuelekea Magogoni. Akifanya vema, itampa heshima kubwa na kumjengea jina, ila akiendesha Bunge hili kwa ushabiki wa kichama, ajue ndio imekula kwake jumla!!!!
 
Sitta ni zaidi ya wanasiasa wengi wa ccm huwa anawatingisha hata wakubwa zake
 
Samwel 6 ni Makini kuliko Chenge kwa mbaliiiii.
 

Tupa tupa wambie sisi tunataka tanganyika yetu
 
Mbona nilisoma mahali humu kwamba Sitta ni muumini wa SERIKALI MBILI wakati Chenge ni wa SERIKALI TATU?

Je, ni kweli?
 
Ningefurahi sana kama SITTA angechaguliwa asee!!!
 
Sita ndiye anakwenda kuwa mwenyekiti hilo alina mjadala hata ccm hapo wamenyanyua mikono
Chenge akijaribu kugombea habari yake kwisha ccm watalia kilio cha mbwa mwitu.
Lusinde Livingstone amependekezwa M/kiti
 
Ah this is not fair.... ina maana Mhe Getrude Rwakatare amesahaulika?? Sikubaliani na hili, she is simply the best, kipenzi changu mama Rwakatare watu wanakubania sana usijali lakini endelea kulisongesha
 

Issa Shivji wa sasa, kopo kabisa, wamekwisha kumchakachua, siyo yule wa zamani! Shivji wa sasa anayemponda jembe Warioba, hatufai katu, apotelee kwa mbali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…