Wajumbe wengi wa Bunge la Katiba wamesema kuwa wanamtaka Samwel Sitta kama Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge hilo. Wakizungumza nami kwa nyakati tofauti hapa Dodoma,Wajumbe hao waliojipachika jina la WAJUMBE HURU (WAHU) wamesema kuwa katika kuchagua kiongzi wao,hakuna chama wala mtu atakayewayumbisha.
WAHU walifanya vikao vyao mbalimbali jana usiku na leo asubuhi katika maandalizi ya kumchagua Samwel Sitta kama Mwenyekiti wao juma lijalo. WAHU inaundwa na Wajumbe ambao ni Wabunge,Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar na Wajumbe wateuliwa na Rais.
'Sisi tunamtaka Sitta. Hakuna zaidi.Hata jina lake lisipoletwa Bungeni,tutampigia kura za wingi na ikiwezekana zote. Huu si wakati wa kuchaguliwa na kuongoozwa kwa kila kitu. Sisi ni Wajumbe huru.Itambulike hivyo' alisema mmoja wa WAHU. 'Wao watuletee yeyote,sisi tutamchagua Sitta. Tunajua hapa mpo mtakaopeleka habari.Pelekeni na mseme kuwa tunamtaka Sitta kama Mwenyekiti wa Bunge la Katiba. Kila mtanzania ajue hivyo' aliongeza mwana-WAHU wakati wa kikao chao.
Je, itawezekana WAHU kuibuka washindi katika hili? Tusubiri na kujionea
Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Dodooma)
Mzee Tupatupa.Kamanda Royals,WAHU ina Wajumbe toka vyama vyote na Taasisi zote hapa Dodoma Bungeni.Sasa wamefika 300
Mzee Tupatupa
WAHU au WEHU?SIRI Mkuu
Mzee Tupatupa
Wajumbe wengi wa Bunge la Katiba wamesema kuwa wanamtaka Samwel Sitta kama Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge hilo. Wakizungumza nami kwa nyakati tofauti hapa Dodoma,Wajumbe hao waliojipachika jina la WAJUMBE HURU (WAHU) wamesema kuwa katika kuchagua kiongzi wao,hakuna chama wala mtu atakayewayumbisha.
WAHU walifanya vikao vyao mbalimbali jana usiku na leo asubuhi katika maandalizi ya kumchagua Samwel Sitta kama Mwenyekiti wao juma lijalo. WAHU inaundwa na Wajumbe ambao ni Wabunge,Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar na Wajumbe wateuliwa na Rais.
'Sisi tunamtaka Sitta. Hakuna zaidi.Hata jina lake lisipoletwa Bungeni,tutampigia kura za wingi na ikiwezekana zote. Huu si wakati wa kuchaguliwa na kuongoozwa kwa kila kitu. Sisi ni Wajumbe huru.Itambulike hivyo' alisema mmoja wa WAHU. 'Wao watuletee yeyote,sisi tutamchagua Sitta. Tunajua hapa mpo mtakaopeleka habari.Pelekeni na mseme kuwa tunamtaka Sitta kama Mwenyekiti wa Bunge la Katiba. Kila mtanzania ajue hivyo' aliongeza mwana-WAHU wakati wa kikao chao.
Je, itawezekana WAHU kuibuka washindi katika hili? Tusubiri na kujionea
Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Dodooma)
Kwa tarifa yako sitta ni zaidi ya mzee wako fahamu kuwa anafaa zaidi ya unavyodhani jitambue.Sitta ni mnafiki kama wewe MZEE TUPATUPA
Mamdenyi mbona unakata tamaa mapema usijali katiba itapatikana kwa moyo mmoja.Sio posho sasa ni majina. Kuleni kodi zetu sie tunawatazama tu.
Lusinde Livingstone amependekezwa M/kitiSita ndiye anakwenda kuwa mwenyekiti hilo alina mjadala hata ccm hapo wamenyanyua mikono
Chenge akijaribu kugombea habari yake kwisha ccm watalia kilio cha mbwa mwitu.
Sheria hii ya Mabadiliko ya Katiba hairuhusu Mwenyekiti achaguliwe kutoka nje ya Wajumbe wa Bunge hili la Katiba? Huku nje vipo vichwa vizuri tu ambavyo havijatafunwa na siasa za vyama na makundi ya Urais na visasi kama Issa Shivji.
Samwel Sitta hajatulia na hatabiriki kabisa.