Wajumbe wengi wa Bunge la Katiba wamesema kuwa wanamtaka Samwel Sitta kama Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge hilo. Wakizungumza nami kwa nyakati tofauti hapa Dodoma,Wajumbe hao waliojipachika jina la WAJUMBE HURU (WAHU) wamesema kuwa katika kuchagua kiongzi wao,hakuna chama wala mtu atakayewayumbisha.
WAHU walifanya vikao vyao mbalimbali jana usiku na leo asubuhi katika maandalizi ya kumchagua Samwel Sitta kama Mwenyekiti wao juma lijalo. WAHU inaundwa na Wajumbe ambao ni Wabunge,Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar na Wajumbe wateuliwa na Rais.
'Sisi tunamtaka Sitta. Hakuna zaidi.Hata jina lake lisipoletwa Bungeni,tutampigia kura za wingi na ikiwezekana zote. Huu si wakati wa kuchaguliwa na kuongoozwa kwa kila kitu. Sisi ni Wajumbe huru.Itambulike hivyo' alisema mmoja wa WAHU. 'Wao watuletee yeyote,sisi tutamchagua Sitta. Tunajua hapa mpo mtakaopeleka habari.Pelekeni na mseme kuwa tunamtaka Sitta kama Mwenyekiti wa Bunge la Katiba. Kila mtanzania ajue hivyo' aliongeza mwana-WAHU wakati wa kikao chao.
Je, itawezekana WAHU kuibuka washindi katika hili? Tusubiri na kujionea
Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Dodooma)
kwa ubora gani alionao?
Wajumbe wengi wa Bunge la Katiba wamesema kuwa wanamtaka Samwel Sitta kama Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge hilo. Wakizungumza nami kwa nyakati tofauti hapa Dodoma,Wajumbe hao waliojipachika jina la WAJUMBE HURU (WAHU) wamesema kuwa katika kuchagua kiongzi wao,hakuna chama wala mtu atakayewayumbisha.
WAHU walifanya vikao vyao mbalimbali jana usiku na leo asubuhi katika maandalizi ya kumchagua Samwel Sitta kama Mwenyekiti wao juma lijalo. WAHU inaundwa na Wajumbe ambao ni Wabunge,Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar na Wajumbe wateuliwa na Rais.
'Sisi tunamtaka Sitta. Hakuna zaidi.Hata jina lake lisipoletwa Bungeni,tutampigia kura za wingi na ikiwezekana zote. Huu si wakati wa kuchaguliwa na kuongoozwa kwa kila kitu. Sisi ni Wajumbe huru.Itambulike hivyo' alisema mmoja wa WAHU. 'Wao watuletee yeyote,sisi tutamchagua Sitta. Tunajua hapa mpo mtakaopeleka habari.Pelekeni na mseme kuwa tunamtaka Sitta kama Mwenyekiti wa Bunge la Katiba. Kila mtanzania ajue hivyo' aliongeza mwana-WAHU wakati wa kikao chao.
Je, itawezekana WAHU kuibuka washindi katika hili? Tusubiri na kujionea
Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Dodooma)
Mbele ya jembe Samwel Sitta,Tanganyika yetu lazima irudi!
Msimamo wa sitta ni serikali tatu, rais mmoja. Kwa mtazamo huu, atakuwa angalau fair kwa pande zote.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Issa Shivji wa sasa, kopo kabisa, wamekwisha kumchakachua, siyo yule wa zamani! Shivji wa sasa anayemponda jembe Warioba, hatufai katu, apotelee kwa mbali!
kwa ubora gani alionao?
Mbele ya jembe Samwel Sitta,Tanganyika yetu lazima irudi!
Six poa lakini na yeye anautaka urais wa jamhuri. Mnadhani atakwenda kinyume na sera ya chama chake? Wanaopenda serikali mbili wasiwe shaka na six kwani bila ya shaka atatumia busara na hekima kufanya wajumbe waone mfumo wa mbili ndio salama kwa umoja wa jamhuri yetu tukufu.Mbele ya jembe Samwel Sitta,Tanganyika yetu lazima irudi!