CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Mwongo tanga hamna kitu cufNyie CUF ndiyo mmetekwa na CCM, eti cuf waiteka Tanga
Ndio hao unao waona mkuu, wataichagua CUF na wengine watamchagua Mzee Lungwe na wanaakiri kukushinda hata wewehivi kuna mtu mwenye akili timamu wa kuichagua CUF?
kama udini unavyoitesa ChademaUdini uawasumbua CUF
Kama wapo wanaichagua chadema watashindwa vipi CUF?Hivi kuna mtu mwenye akili timamu wa kuichagua CUF?
Plus uchaga na ukandakama udini unavyoitesa Chadema
Na sehemu yenye wakristo wengi ndipo utawakuta nyumbu wengiSehemu yenye waislamu wengi CUF ina-nguvu.
na ubinafsi,ndugu zao na vimada ndo wateuliwa kuwa viti maalum.Plus uchaga na ukanda
Kama ushoga unavyowasumbua cdmUdini uawasumbua CUF
Kabisana ubinafsi,ndugu zao na vimada ndo wateuliwa kuwa viti maalum.