DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Sisi wananchi wa Bukoba Vijijini tumemkataa Rweikiza then nyie mnaforce mambo sasa subirini kichapo kikali.
Nadhani utaratibu unajulikana Wahaya tuko vizuri kichwani.
Mazoea mnayoleta mtayajutia Hugo Rweikiza kafanya jambo gani zuri , hata barabara moja haipo Tangia kumpa ubunge ...sasa tutawanyoosha.
Nb: wajumbe wa CCM nimewaona kiukweli wako hoi wamechoka hata ningekuwa mm ndo wao ningepokea tu Rushwa.
Nadhani utaratibu unajulikana Wahaya tuko vizuri kichwani.
Mazoea mnayoleta mtayajutia Hugo Rweikiza kafanya jambo gani zuri , hata barabara moja haipo Tangia kumpa ubunge ...sasa tutawanyoosha.
Nb: wajumbe wa CCM nimewaona kiukweli wako hoi wamechoka hata ningekuwa mm ndo wao ningepokea tu Rushwa.