Uchaguzi 2020 Wajumbe wa Bukoba Vijijini mmekosa heshima, haiwezekani mumpe kura Rweikiza, sasa subirini kichapo kikali kutoka kwa Conchesta Rwamlaza

Uchaguzi 2020 Wajumbe wa Bukoba Vijijini mmekosa heshima, haiwezekani mumpe kura Rweikiza, sasa subirini kichapo kikali kutoka kwa Conchesta Rwamlaza

Hilo halina usumbufu kwetu wana dsm, wala haituumiz kabisa.

Tunacho jivunia kama wananchi wa dsm ni kutumia nafasi finyu tuliyo ipata kufanya maamuzi ya nani awe kiongozi wetu.

Tumemkataa Bashite na hii iwe meseji kwa mwenyekiti wa ccm kuwa mtu wake tumemkataa.
Siasa haina mahesabu makali, ni upepo.
Utashangaa Makonda akarudi kuwa waziri asiye na wiara maalum.
 
Hivi Bukoba vijijini inajumuisha sehemu zipi? Nimepata ingawa ni data ya zamani kidogo


District
Bukoba Rural District's location within Kagera Region.'s location within Kagera Region.
Bukoba Rural District's location within Kagera Region.



Bukoba Rural District is one of the eight districts of the Kagera Region of Tanzania. It is bordered to the north by Missenyi District, to the east by Lake Victoria and Bukoba Urban District, to the south by Muleba District and to the west by Karagwe District. Its administrative seat is Bukoba town.

According to the 2012 Tanzania National Census, the population of Bukoba Rural District was 289,697.[1]
to 29 wards.[1]

Wards
  • Buhendangabo
  • Bujugo
  • Butelankuzi
  • Butulage
  • Ibwera
  • Izimbya
  • Kaagya
  • Kaibanja
  • Kanyangereko
  • Karabagaine
  • Kasharu
  • Katerero
  • Katoma
  • Katoro
  • Kemondo
  • Kibirizi
  • Kikomero
  • Kishanje
  • Kishogo
  • Kyamulaile
  • Maruku
  • Mikoni
  • Mugajwale
  • Nyakato
  • Nyakibimbili
  • Rubafu
  • Rubale
  • Ruhunga
  • Rukoma
Biharamulo haiko bk ilitolewa na kupelekwa geita
 
Jamani mnyonge mnyogeni lakini haki yake mpeni. Huyu Rweikiza si amewajengea kiwanda cha kusindika nyanya ambacho pamoja na kuwawezesha wakulima wengi kitatengeneza ajira za moja kwa moja 150! Haya si ndiyo maendeleo ya moja kwa moja yanayoweka fedha mikononi mwenu?
Ajira 150 nazo za kupigia kelele?
Kwanza mkoa wa Kagera wote una wabunge wa ajabu.
 
Jimbo la BK Vijijini ni changamoto sana...wapo vijana wasomi na wajenga hoja ila kupitishwa kugombea kiti cha Ubunge inakua mtiani...HAWANA PESA
 
Jamani mnyonge mnyogeni lakini haki yake mpeni. Huyu Rweikiza si amewajengea kiwanda cha kusindika nyanya ambacho pamoja na kuwawezesha wakulima wengi kitatengeneza ajira za moja kwa moja 150! Haya si ndiyo maendeleo ya moja kwa moja yanayoweka fedha mikononi mwenu?
Hakuna kitu mpaka sasa hv nyanya zinanunua bei sawa na bure, alafu jamaa ana kashifa ya kupindisha makao makuu ya wilaya kama alivyofanya kwenye hospitali ya wilaya
 
Kiwanda cha Nyanya alichojenga Rweikiza akifanyi kazi sahivi nyanya zinaozea shambani , yeye kajenga shule yake tu ambayo Ada yake ni mili 5 kwa mwaka.
 
Mimi CCM lakini CCM si mama yangu!
Akitokea mtu makini chama chochote kura yangu anayo.
Msituletee kama kina Juma Nkamia hata wana CCM hawamtaki.
CHADEMA wamewaleteeni jembe, ma Conche mshindwe wenyewe tu! Mwaka huu naona CHADEMA wanachukua kuanzia hapo mjini, vijijini, Nkenge, Biharamulo na Ngara! Tunaunga Buyungu, Muhambwe
 
Back
Top Bottom