OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Au wachukue hizo hela, ajiaminishe atashinda then wamchinje na kwenye sanduku la kura.Hakuna namna Mbowe anaweza kumshinda Mh.Lissu zaidi ya kununua wajumbe na kuiba kura. Wajumbe wengi wameonyesha kutokubali Mbowe kujimilikisha chama.
Kama huyu mtu amekosa aibu kabisa basi na sisi tusimuonee aibu kwa vyovyote. Tumuanike popote bila aibu anapotaka kununua mjumbe yeye mwenyewe au mawakala wake. Hakuna siri katika uchaguzi, iwe ukitaka kununuliwa wewe au mjumbe mwenzio toa taarifa kwa umma.
Hakuna haja ya kusubiri uchaguzi uishe, bali wakati ni sasa.
Mbowe anafuata maelekezo toka CCMEh kumbe hd kwenye chama cha demokrasia na maendeleo kuna kununuana π
πAkili zenu ni finyu sana yani Lisu na akina dr slaa na maria sarungi wamshinde MboweHakuna namna Mbowe anaweza kumshinda Mh.Lissu zaidi ya kununua wajumbe na kuiba kura. Wajumbe wengi wameonyesha kutokubali Mbowe kujimilikisha chama.
Kama huyu mtu amekosa aibu kabisa basi na sisi tusimuonee aibu kwa vyovyote. Tumuanike popote bila aibu anapotaka kununua mjumbe yeye mwenyewe au mawakala wake. Hakuna siri katika uchaguzi, iwe ukitaka kununuliwa wewe au mjumbe mwenzio toa taarifa kwa umma.
Hakuna haja ya kusubiri uchaguzi uishe, bali wakati ni sasa.
Hiyo ndiyo dawa tu hela zake unakula lakini kwenye sanduku la kura unampa za uso.Au wachukue hizo hela, ajiaminishe atashinda then wamchinje na kwenye sanduku la kura.
Huo ni uchaguzi wa CHADEMA Vs CCMEh kumbe hd kwenye chama cha demokrasia na maendeleo kuna kununuana π
Uchaguzi huru na haki Mbowe saa mbili asubuhi tu ananyolewa kwa chupa.πAkili zenu ni finyu sana yani Lisu amshinde Mbowe
Muda utaongea kati ya wanaharakati wapiga kelele wa Twitter na watu wanaofanya siasa seriouslyUchaguzi huru na haki Mbowe saa mbili asubuhi tu ananyolewa kwa chupa.
Siasa ya kung'ang'ania Uwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20 au unaongelea siasa gani?Muda utaongea kati ya wanaharakati wapiga kelele wa Twitter na watu wanaofanya siasa seriously
Mbowe amefanya siasa seriously kwa miaka 20 iliyopita lakini kwa sasa amefikia ukomo wa kufanya siasa za ushindani anatakiwa awe mshauri tu awaachie wengine waende front. Maridhiano na Samia yamempunguza sana nguvu ya kupambana na CCM hii iliyojaa ulaghai.Muda utaongea kati ya wanaharakati wapiga kelele wa Twitter na watu wanaofanya siasa seriously
Hio ni hoja dhaifu,km uwezo upo anaweza endeleaSiasa ya kung'ang'ania Uwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20 au unaongelea siasa gani?
Hio ni hoja dhaifu,kama uwezo upo anaweza endeleaMbowe amefanya siasa seriously kwa miaka 20 iliyopita lakini kwa sasa amefikia ukomo wa kufanya siasa za ushindani anatakiwa awe mshauri tu awaachie wengine waende front. Maridhiano na Samia yamempunguza sana nguvu ya kupambana na CCM hii iliyojaa ulaghai.
Chawa wa Sultan mnajitoa ufahamu sana. Kama huoni kuwa uwezo wa Mbowe kupambana na CCM umepungua basi ukapimwe akili,hata kilichotokea kwenye uchafuzi wa serikali za mitaa huoni sasa nitabishana na wewe wa nini.Hio ni hoja dhaifu,kama uwezo upo anaweza endelea
Mfuateni lisu atakapoamia Act,akagombane na Zito tena π
πKwa hio nyie mnajifungia ndani na wake zenu,mnategemea mbowe au lisu ndio wapambane na ccm?ππChawa wa Sultan mnajitoa ufahamu sana. Kama huoni kuwa uwezo wa Mbowe kupambana na CCM umepungua basi ukapimwe akili,hata kilichotokea kwenye uchafuzi wa serikali za mitaa huoni sasa nitabishana na wewe wa nini.
Yericko asipewe fursa ya kulisogelea sanduku la Kura.Uchaguzi huru na haki Mbowe saa mbili asubuhi tu ananyolewa kwa chupa.
Nitajie majina ya wagombea wa ccmHuo ni uchaguzi wa CHADEMA Vs CCM
C ndo kiongozi wenu huyo πMbowe anafuata maelekezo toka CCM