CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Amekwisha kengeuka huyo ni kitendea kazi cha SamiaC ndo kiongozi wenu huyo 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekwisha kengeuka huyo ni kitendea kazi cha SamiaC ndo kiongozi wenu huyo 😂
Ili tusinunuliwe,tupatie bus fare kwenda na kurudi, kula Bure,kulala Bure,na posho ya mfukoni ya siku tatu.Hakuna namna Mbowe anaweza kumshinda Mh.Lissu zaidi ya kununua wajumbe na kuiba kura. Wajumbe wengi wameonyesha kutokubali Mbowe kujimilikisha chama.
Kama huyu mtu amekosa aibu kabisa basi na sisi tusimuonee aibu kwa vyovyote. Tumuanike popote bila aibu anapotaka kununua mjumbe yeye mwenyewe au mawakala wake. Hakuna siri katika uchaguzi, iwe ukitaka kununuliwa wewe au mjumbe mwenzio toa taarifa kwa umma.
Hakuna haja ya kusubiri uchaguzi uishe, bali wakati ni sasa.
Kwanini unahisi kwamba wajumbe watanunuliwa ?....wasiwasi unatoka wapi ?Hakuna namna Mbowe anaweza kumshinda Mh.Lissu zaidi ya kununua wajumbe na kuiba kura. Wajumbe wengi wameonyesha kutokubali Mbowe kujimilikisha chama.
Kama huyu mtu amekosa aibu kabisa basi na sisi tusimuonee aibu kwa vyovyote. Tumuanike popote bila aibu anapotaka kununua mjumbe yeye mwenyewe au mawakala wake. Hakuna siri katika uchaguzi, iwe ukitaka kununuliwa wewe au mjumbe mwenzio toa taarifa kwa umma.
Hakuna haja ya kusubiri uchaguzi uishe, bali wakati ni sasa.
Mbowe hayupo tayari kushindwa kirahisi na CCM wapo nyuma yake. Hizo ni mbinu za kawaida kwa wagombea wa namna yakeKwanini unahisi kwamba wajumbe watanunuliwa ?....wasiwasi unatoka wapi ?
Wito huu ungekuwa unatolewa kwa watu wenye akili timamu za binadamu, lakini hao wajumbe ni akili za nyumbu, subiri utashangaa Lissu kupata kura 1 ya kwake kama ile ya kwangu Kawe!.Hakuna namna Mbowe anaweza kumshinda Mh.Lissu zaidi ya kununua wajumbe na kuiba kura. Wajumbe wengi wameonyesha kutokubali Mbowe kujimilikisha chama.
Kama huyu mtu amekosa aibu kabisa basi na sisi tusimuonee aibu kwa vyovyote. Tumuanike popote bila aibu anapotaka kununua mjumbe yeye mwenyewe au mawakala wake. Hakuna siri katika uchaguzi, iwe ukitaka kununuliwa wewe au mjumbe mwenzio toa taarifa kwa umma.
Hakuna haja ya kusubiri uchaguzi uishe, bali wakati ni sasa.
Wito huu ungekuwa unatolewa kwa watu wenye akili timamu za binadamu, lakini hao wajumbe ni akili za nyumbu, subiri utashangaa Lissu kupata kura 1 ya kwake kama ile ya kwangu Kawe!.
Juhudi kubwa inatakiwa kuwavua unyumbu hawa manyumbu na kurejesha akili za binadamu!.
P