Wajumbe wa MCC Kawe ina maana hata hapa 'JamiiForums' mpo pia na bado tu 'Mnanisagia Kunguni' Mwanenu?

Wajumbe wa MCC Kawe ina maana hata hapa 'JamiiForums' mpo pia na bado tu 'Mnanisagia Kunguni' Mwanenu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wajumbe wa MCC Kawe kama mpo pia na hapa JamiiForums naomba nichukue nafasi hii kuwatakeni radhi kama kuna nilikowakosea ili mnisamehe na nyota yangu ya kukubalika irejee kwa Jamii.

Kwani kama kuna sehemu ya kipekee ambayo mara kwa mara nimekuwa nikitamba kuwa nakubalika, ni maarufu na mimi ndiyo member mwenye akili kuliko wote na ushawishi mkubwa kama Mpasha Taarifa kwa Umma basi ni hapa JamiiForums.

Wajumbe wa MCC Kawe mmeniachia nuksi mbaya sana katika maisha yangu mpaka hata kwingineko (hata hapa JamiiForums) kukitokea tu uchaguzi wowote au shindano lolote lile bado tu sikubaliki pamoja na kwamba mimi ni mkongwe na mngwena (mwamba) kuliko wengineo wote.

Kama ikiwapendezeni pia Wajumbe wa MCC Kawe nitapenda kwa nia njema tu mniambie ni wapi labda nilikosea, niliwakosea au nakosea ili nijirekebishe kiasi kwamba hata 2025 nikijaribu bahati nyingine labda Dar es Salaam au Mwanza hata kwa nafasi nyepesi tu ya Ujumbe wa Nyumba Kumi Kumi (japo sasa ni hamsini hamsini) basi safari hii nisianguke/nisishinde tena kwa aibu hizi za Kawe Jimboni na Mtandaoni JamiiForums.

Nitawashukuruni.

Wenu Mpasha Taarifa kwa Umma mkongwe, mwerevu kuliko wote JamiiForums na maarufu sana.

Cc: Bila bila, adriz, Bujibuji Simba Nyamaume, Daudi Mchambuzi, Glenn, SAGAI GALGANO, King Kong III, cocastic etc.
 
Wajumbe wa MCC Kawe kama mpo pia na hapa JamiiForums naomba nichukue nafasi hii kuwatakeni radhi kama kuna nilikowakosea ili mnisamehe na nyota yangu ya kukubalika irejee kwa Jamii.

Kwani kama kuna sehemu ya kipekee ambayo mara kwa mara nimekuwa nikitamba kuwa nakubalika, ni maarufu na mimi ndiyo member mwenye akili kuliko wote na ushawishi mkubwa kama Mpasha Taarifa kwa Umma basi ni hapa JamiiForums.

Wajumbe wa MCC Kawe mmeniachia nuksi mbaya sana katika maisha yangu mpaka hata kwingineko (hata hapa JamiiForums) kukitokea tu uchaguzi wowote au shindano lolote lile bado tu sikubaliki pamoja na kwamba mimi ni mkongwe na mngwena (mwamba) kuliko wengineo wote.

Kama ikiwapendezeni pia Wajumbe wa MCC Kawe nitapenda kwa nia njema tu mniambie ni wapi labda nilikosea, niliwakosea au nakosea ili nijirekebishe kiasi kwamba hata 2025 nikijaribu bahati nyingine labda Dar es Salaam au Mwanza hata kwa nafasi nyepesi tu ya Ujumbe wa Nyumba Kumi Kumi (japo sasa ni hamsini hamsini) basi safari hii nisianguke/nisishinde tena kwa aibu hizi za Kawe Jimboni na Mtandaoni JamiiForums.

Nitawashukuruni.

Wenu Mpasha Taarifa kwa Umma mkongwe, mwerevu kuliko wote JamiiForums na maarufu sana.

Cc: Bila bila, adriz, Bujibuji Simba Nyamaume, Daudi Mchambuzi, Glenn, SAGAI GALGANO, King Kong III, cocastic etc.
Nyota yako bado ina ng'aa sana. Jukwaa la Michezo umefunika sana kwa wingi wa kura.
Pia jukwaa la Chit Chat umefanya vizuri licha ya kwamba ulikuwa ukishindana na KIJEBA, Mtu mzito Mshana Jr, na mimi mtiifu wa JamiiForums.

All in all tunakupenda sana
 
Breaking news mtoa mada hakai kawe anaishi Bunda vijijini.


Sababu: jf tunatumia anonymous names.

Hakuna anae taka kujulikana anaishi mtaa gani.

KWA hiyo hizo story za kusema unakaa kawe ni utani tu. Hukai kawe wewe jikubali mkuu unaishi Bunda vijijini dar hujawahi kufika
 
Wajumbe wa MCC Kawe kama mpo pia na hapa JamiiForums naomba nichukue nafasi hii kuwatakeni radhi kama kuna nilikowakosea ili mnisamehe na nyota yangu ya kukubalika irejee kwa Jamii.

Kwani kama kuna sehemu ya kipekee ambayo mara kwa mara nimekuwa nikitamba kuwa nakubalika, ni maarufu na mimi ndiyo member mwenye akili kuliko wote na ushawishi mkubwa kama Mpasha Taarifa kwa Umma basi ni hapa JamiiForums.

Wajumbe wa MCC Kawe mmeniachia nuksi mbaya sana katika maisha yangu mpaka hata kwingineko (hata hapa JamiiForums) kukitokea tu uchaguzi wowote au shindano lolote lile bado tu sikubaliki pamoja na kwamba mimi ni mkongwe na mngwena (mwamba) kuliko wengineo wote.

Kama ikiwapendezeni pia Wajumbe wa MCC Kawe nitapenda kwa nia njema tu mniambie ni wapi labda nilikosea, niliwakosea au nakosea ili nijirekebishe kiasi kwamba hata 2025 nikijaribu bahati nyingine labda Dar es Salaam au Mwanza hata kwa nafasi nyepesi tu ya Ujumbe wa Nyumba Kumi Kumi (japo sasa ni hamsini hamsini) basi safari hii nisianguke/nisishinde tena kwa aibu hizi za Kawe Jimboni na Mtandaoni JamiiForums.

Nitawashukuruni.

Wenu Mpasha Taarifa kwa Umma mkongwe, mwerevu kuliko wote JamiiForums na maarufu sana.

Cc: Bila bila, adriz, Bujibuji Simba Nyamaume, Daudi Mchambuzi, Glenn, SAGAI GALGANO, King Kong III, cocastic etc.
Mjivuni anapoomba po!
 
Breaking news mtoa mada hakai kawe anaishi Bunda vijijini.


Sababu: jf tunatumia anonymous names.

Hakuna anae taka kujulikana anaishi mtaa gani.

KWA hiyo hizo story za kusema unakaa kawe ni utani tu. Hukai kawe wewe jikubali mkuu unaishi Bunda vijijini dar hujawahi kufika
Uko sahihi 100% na sijui kwanini umesahau pia kuwaambia kuwa Mimi ndiyo Kinara wa Masikini wote hapa JamiiForums.
 
Uko sahihi 100% na sijui kwanini umesahau pia kuwaambia kuwa Mimi ndiyo Kinara wa Masikini wote hapa JamiiForums.

Don't tell me wewe ni kilaza wa kiwango hiki so unataka kumaanisha kwamba kuishi dar ndio UTAJIRI na kwamba kuishi Bunda vijijini ni umasikini???

Tatizo lako ni kukosa shule na exposure
 
Don't tell me wewe ni kilaza wa kiwango hiki so unataka kumaanisha kwamba kuishi dar ndio UTAJIRI na kwamba kuishi Bunda vijijini ni umasikini???

Tatizo lako ni kukosa shule na exposure
Uchokonozi unaendelea
 
Don't tell me wewe ni kilaza wa kiwango hiki so unataka kumaanisha kwamba kuishi dar ndio UTAJIRI na kwamba kuishi Bunda vijijini ni umasikini???

Tatizo lako ni kukosa shule na exposure
Umeshamaliza kutoa Sumu yako ya Kunichukia na Hasira za Umaarufu wangu mkubwa hapa? Hujakosea Mimi siishi Dar es Salaam kama Wewe na nasisitiza Waambie pia kuwa Mimi ni Pauper kabisa ili wajue sawa?

Sasa umeshasema naishi Bunda unategemea hiyo Exposure niipate wapi tena? Kheri yako Wewe mwenye Exposure ya Kutwa Ku Log In hapa JamiiForums na Kunidhihaki, Kunitukana na Kunishambulia kwani huenda Kunakusaidia Kukuingizia Kipato na Kuidumisha ID yako Kimaarufu.

Najua unachokitaka na Kukitafuta Kwangu kwa Kutumia hi ID yako na ile iliyoko Kifungoni ni Mimi GENTAMYCINE nikasirike, tuanze Mabishano na nikujibu vibaya ( kwa Lugha yangu Umiza ) ili uwahi Kuniripoti kwa Moderators na nipewe BAN ndefu na usiendelee Kuiona hapa JamiiForums hii ID unayoichukia utadhani labda ndiyo imekusababishia uwe na hayo Maisha yako Magumu ( ya Dhiki ) uliyonayo.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Kuna mahala niliona Unagombea / Unashindanishwa vipi ulishinda au Kura za Wajumbe Werevu na Tukuka wa JamiiForums hazikutosha Kwako?

😀😀
Wajumbe wa Kawe ukiwaona Huko nishtue, nina zawadi Yao ya kufungia Mwaka. Walichonifanyia ni Umafia
 
Breaking news mtoa mada hakai kawe anaishi Bunda vijijini.


Sababu: jf tunatumia anonymous names.

Hakuna anae taka kujulikana anaishi mtaa gani.

KWA hiyo hizo story za kusema unakaa kawe ni utani tu. Hukai kawe wewe jikubali mkuu unaishi Bunda vijijini dar hujawahi kufika
Ni Mapopoma wenzake pekee ndiyo siku zote wanamuamini.
 
Back
Top Bottom