Logatho Mwolokujova
Senior Member
- Apr 27, 2013
- 116
- 18
Kwanin wameamua kuja na pendekezo la serikali tatu ilihal wananch hawakuambiwa kama muundo utakuwa hv? wanataka waendelee kuandika rasimu na katiba ya Tanganyika na zanzibar! Serikali tatu ni mzigo sana. kwa mfano wabunge sehemu ninayokaa mimi watakuwa watatu. wawili wa muungano na mmoja wa Tanganyika. Dawa ni serikali moja.