Logatho Mwolokujova
Senior Member
- Apr 27, 2013
- 116
- 18
- Thread starter
- #21
Wananchi wangeambiwaje kuwa mfumo utakuwa serikali tatu kabla ya tume kukusanya maoni ya wananchi na wadau wote kujua aina ya muungano wanaoutaka? au Ulitaka tume ikae tu na ku dictate??Na incase ya kuundwa kwa katiba ya Tanganyika tume ya warioba hawawezi kutumika maana tume yao ina sura ya muungano, sasa unataka kusema wazanzibar watakuja kusaidia kuandika katiba ya Tanganyika au Watanganyika wataenda kuunda katiba ya Zanzibar lazima iundwe Tume nyingine! Usipende tuu kutupa lawama bila kujiridhisha na hizo tuhuma!!Hilo la serikali moja ni wazo lako ungeliwasilisha kwenye tume, ila wengi wametaka serikali tatu!
Hilo la wengi wamesema ni sawa maamuzi ya spika Bungeni kusema wengi wamesema ndio wakati si kweli. kwanin usiwekwe utaratibu wa kupiga kura?