wajumbe wanapotaka kugraduate kwenye semina

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmhhhhhh
naona sasa hii imani imetushinda jamani...iweje kila siku baadhi ya wafanyakazi na ni wale wale ndio wanaoenda kwenye semina ....hasa za mikoani....kwani hakuna wengine wa kwenda..ndipo swali langu nikasema nililete hapa wanandugu je kuna kugraduate kwenye semina....embu mabosi wafikirieni na watu wa chini jamani...nao wameajiriwa kwa lengo zuri kama nyie iweje ......wachche wale wale ndio unawaona london...s.africa...bukoba nako wapo...mmmhhh tuwaangalie na wachini jamani..kila mtu anaitaji semina tuache kuangalia per diem...
 
umelalamika hilo kazini?, ama huko unanung'unika kando bila kuwaambia ukweli, halafu unakuja zungumza hapa JF. Taja na ofisi na mifano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…