Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmhhhhhh
naona sasa hii imani imetushinda jamani...iweje kila siku baadhi ya wafanyakazi na ni wale wale ndio wanaoenda kwenye semina ....hasa za mikoani....kwani hakuna wengine wa kwenda..ndipo swali langu nikasema nililete hapa wanandugu je kuna kugraduate kwenye semina....embu mabosi wafikirieni na watu wa chini jamani...nao wameajiriwa kwa lengo zuri kama nyie iweje ......wachche wale wale ndio unawaona london...s.africa...bukoba nako wapo...mmmhhh tuwaangalie na wachini jamani..kila mtu anaitaji semina tuache kuangalia per diem...
naona sasa hii imani imetushinda jamani...iweje kila siku baadhi ya wafanyakazi na ni wale wale ndio wanaoenda kwenye semina ....hasa za mikoani....kwani hakuna wengine wa kwenda..ndipo swali langu nikasema nililete hapa wanandugu je kuna kugraduate kwenye semina....embu mabosi wafikirieni na watu wa chini jamani...nao wameajiriwa kwa lengo zuri kama nyie iweje ......wachche wale wale ndio unawaona london...s.africa...bukoba nako wapo...mmmhhh tuwaangalie na wachini jamani..kila mtu anaitaji semina tuache kuangalia per diem...