Wajuzi bei za matrekta ya kilimo

Wajuzi bei za matrekta ya kilimo

Mkuu Trekta za uhakika kwa dunia ya sasa zinatengenezwa na Mmarekani(USA),yaani kuanzia Massey Ferguson, NewHolland,Case,John Deere na Versatile.

Hizo ndio top brands za matrekta kwa dunia ya sasa ambapo Mmarekani ndio ametawala .

Labda labda kidogo mwingine ni Mjerumani ambae trekta zake bora zipo Brands mbili ambazo ni Fendt na Claas.

Kasheshe IPO kwenye bei,,,Trekta mpya ya four wheel drive (4WD) na ya miaka ya karibuni kutoka brands tatu nilizozitaja hapo juu Si Chini ya 300,000,000.00/= TSH.

Kama unataka mtumba wa Trekta za hao jamaa hapo juu soko lake lipo UK.Ambapo bei ya Trekta mtumba za uhakika brands hizo hapo juu zinarange kuanzia milioni sitini(60M) mpaka milioni mia hamsini(150M).

Sasa ushauri wangu kwako ni kuwa Mara zote inabidi kuangalia ubora na sio bei.India watu wa kule ni wabahili wabahili ndio maana vitu vingi kwao vimekuwa subpriced ili kuendana na matakwa ya soko lao.Utashangaa kwanini gari la mjerumani linalouzwa UK na India ingawa model ni moja lakini bei tofauti ni kubwa?!! ,,,Jawabu ni kuwa wahindi huwa wanaangalia bei na Si ubora; Mercedes Benz model inayouzwa UK ni bora kuliko Mercedes Benz model hiyo hiyo inayouzwa India.

Nahitimisha kukumbusha kuwa hiyo Swaraj ni tractor-type ya Bajaj Boxer Bm150 in quality.BAJAJ BOXER ni mhindi na SWARAJ ni mhindi.

Mbona wahindi wako vizuri in terms of quality na bei?..
Hivi ukiambia chukua swaraj ya india au farmtrac ya chini utachagua nini hapo?..
Au chukua boxer/tvs star ya india au sanlg ya china utachagua ipi hapo?
Wahindi nawakubali sana interms of quality na bei!...
Hizo brand za kimareka ulizozitaja ni za dunia ya kwanza mkuu huwezi linganisha na sie kajamba nani huku dunia ya tatu!...
Rafiki nakushauri kama unataka tractor mpya nunua indian made ni nzuri na mathubuti zinadumu mkuu!..
Ila kama pesa yako kidogo unaweza agiza South Africa wananazo used massey ukiwa na milioni 15 unapata yenye 4wd ziko bora kabisa changamoto usafirishaji!..
Swaraj utaipata pale mivinjeni dar opp na tanesco wana wakala pale
 
Ushauri wangu: achana na takataka za India, Usidanganywe na bei, Fikiria durability of the machine coupled with after sale services na upatikanaji wa spare kwa haraka. Massey Ferguson 375 is ideal kama shamba lako halina mazingira ya tifutifu na ardhi sio ngumu sana. 4wd tractor ni nzuri kama budget inaruhusu, Hii ni kutokana na uzoefu wangu in farming
 
Ushauri wangu: achana na takataka za India, Usidanganywe na bei, Fikiria durability of the machine coupled with after sale services na upatikanaji wa spare kwa haraka. Massey Ferguson 375 is ideal kama shamba lako halina mazingira ya tifutifu na ardhi sio ngumu sana. 4wd tractor ni nzuri kama budget inaruhusu, Hii ni kutokana na uzoefu wangu in farming
M.ngap mkuu?
 
TRACTOR KINGDOM ZAR offers an Extensive Range Of Quality Used MASSEY FERGUSON tractors

MASSEY FERGUSON 135 + 2 SHEAR PLOUGH = R80,000
MASSEY FERGUSON 165 + 3 SHEAR PLOUGH = R100,000
MASSEY FERGUSON 188 + 3 SHEAR PLOUGH = R120,000
MASSEY FERGUSON 290 + 3 SHEAR PLOUGH = 150,000
MASSEY FERGUSON 399 = 150,000

Contact us today for more information ABOUT THIS HUGE SALE !!!

Cnr Lavender Road & Erras street
Wonderboom , Pretoria, South Africa
Tel: 0027 (0) 12-7515612
Cell: 0027 (0) 768110349
Cell: 0027 (0) 723043704
 
Habari waungwana,
Kama kuna wadau wanaojua bei za trekta za kilimo tujuzane hapa.
Napendelea sana aina ya ''swaraji".
Karibuni,


By


Young

Dimaa.
Swaraj-855-FE-Tractor-Engine.png
 
Mkuu Trekta za uhakika kwa dunia ya sasa zinatengenezwa na Mmarekani(USA),yaani kuanzia Massey Ferguson, NewHolland,Case,John Deere na Versatile.

Hizo ndio top brands za matrekta kwa dunia ya sasa ambapo Mmarekani ndio ametawala .

Labda labda kidogo mwingine ni Mjerumani ambae trekta zake bora zipo Brands mbili ambazo ni Fendt na Claas.

Kasheshe IPO kwenye bei,,,Trekta mpya ya four wheel drive (4WD) na ya miaka ya karibuni kutoka brands tatu nilizozitaja hapo juu Si Chini ya 300,000,000.00/= TSH.

Kama unataka mtumba wa Trekta za hao jamaa hapo juu soko lake lipo UK.Ambapo bei ya Trekta mtumba za uhakika brands hizo hapo juu zinarange kuanzia milioni sitini(60M) mpaka milioni mia hamsini(150M).

Sasa ushauri wangu kwako ni kuwa Mara zote inabidi kuangalia ubora na sio bei.India watu wa kule ni wabahili wabahili ndio maana vitu vingi kwao vimekuwa subpriced ili kuendana na matakwa ya soko lao.Utashangaa kwanini gari la mjerumani linalouzwa UK na India ingawa model ni moja lakini bei tofauti ni kubwa?!! ,,,Jawabu ni kuwa wahindi huwa wanaangalia bei na Si ubora; Mercedes Benz model inayouzwa UK ni bora kuliko Mercedes Benz model hiyo hiyo inayouzwa India.

Nahitimisha kukumbusha kuwa hiyo Swaraj ni tractor-type ya Bajaj Boxer Bm150 in quality.BAJAJ BOXER ni mhindi na SWARAJ ni mhindi.
Umejibu vema sana
 
Habari waungwana,
Kama kuna wadau wanaojua bei za trekta za kilimo tujuzane hapa.
Napendelea sana aina ya ''swaraji".
Karibuni,


By


Young

Dimaa.
Mkuu masamila hapa chini amekujibu vizuri au kwa uhkiki zaidi kama uko dar es saalam nenda pale mwenge makao makuu ya suma j.k.t yapo utapewa mwongozo zaidi
 
Mkuu Trekta za uhakika kwa dunia ya sasa zinatengenezwa na Mmarekani(USA),yaani kuanzia Massey Ferguson, NewHolland,Case,John Deere na Versatile.

Hizo ndio top brands za matrekta kwa dunia ya sasa ambapo Mmarekani ndio ametawala .

Labda labda kidogo mwingine ni Mjerumani ambae trekta zake bora zipo Brands mbili ambazo ni Fendt na Claas.

Kasheshe IPO kwenye bei,,,Trekta mpya ya four wheel drive (4WD) na ya miaka ya karibuni kutoka brands tatu nilizozitaja hapo juu Si Chini ya 300,000,000.00/= TSH.

Kama unataka mtumba wa Trekta za hao jamaa hapo juu soko lake lipo UK.Ambapo bei ya Trekta mtumba za uhakika brands hizo hapo juu zinarange kuanzia milioni sitini(60M) mpaka milioni mia hamsini(150M).

Sasa ushauri wangu kwako ni kuwa Mara zote inabidi kuangalia ubora na sio bei.India watu wa kule ni wabahili wabahili ndio maana vitu vingi kwao vimekuwa subpriced ili kuendana na matakwa ya soko lao.Utashangaa kwanini gari la mjerumani linalouzwa UK na India ingawa model ni moja lakini bei tofauti ni kubwa?!! ,,,Jawabu ni kuwa wahindi huwa wanaangalia bei na Si ubora; Mercedes Benz model inayouzwa UK ni bora kuliko Mercedes Benz model hiyo hiyo inayouzwa India.

Nahitimisha kukumbusha kuwa hiyo Swaraj ni tractor-type ya Bajaj Boxer Bm150 in quality.BAJAJ BOXER ni mhindi na SWARAJ ni mhindi.
Acha kutisha watu mkuu, trector mtumba 150mil? Wakati jkt wanauza za 24mil mpya
 
Swaraj ni trekta nzuri tu na imara pia zinafanya kazi vizuri.Fika Dodoma, Manyara, Shinyanga, Simiyu, Mtwara etc utapata majibu chanya..Jumla kuna Swaraj zaidi ya 1000 zipo Tanzania.Bei ya Swaraj 744 -48hp ni Tsh 29.8mn, Swaraj 855-55hp ni Tsh 32.8mn. Bei ya jembe Tsh 4.5mn. Unalipa full cash au kukopa unatanguliza nusu (50%) inayobaki unalipa ndani ya miaka 2. Dhamana ni trekta pia uwe ni mkulima mzoefu ktk kipindi kisichopungua miaka 2..ukubwa wa shamba eka 50 na kuendelea. Ukiwa unahitaji na unakidhi vigezo then utani inbox..
Naomba uni inbox nikupugie, vigezo ninavyo. Hiyo hp 55 nitapenda kuijua.
 
Nimepata elimu kiasi kI kubwa.Ila Naomba kujua umadhubuti wa Massey Ferguson MF 375 ya Pakistan. HP75. Mwenye uzoefu pls msaada. Nataka nitumie morogoro
 
Swaraj ni trekta nzuri tu na imara pia zinafanya kazi vizuri.Fika Dodoma, Manyara, Shinyanga, Simiyu, Mtwara etc utapata majibu chanya..Jumla kuna Swaraj zaidi ya 1000 zipo Tanzania.Bei ya Swaraj 744 -48hp ni Tsh 29.8mn, Swaraj 855-55hp ni Tsh 32.8mn. Bei ya jembe Tsh 4.5mn. Unalipa full cash au kukopa unatanguliza nusu (50%) inayobaki unalipa ndani ya miaka 2. Dhamana ni trekta pia uwe ni mkulima mzoefu ktk kipindi kisichopungua miaka 2..ukubwa wa shamba eka 50 na kuendelea. Ukiwa unahitaji na unakidhi vigezo then utani inbox..
Mkuu dhamana nyumba haiwezekani?, ndo mara ya kwanza nataka kumiliki trekta , hiyo trekta ya dhamana nitaitoa wapi mkuu?, kama upo tayari dhamana nyumba na pesa kidogo tufanye biashara, halafu muda mbona kidogo sana?
 
Back
Top Bottom