Wajuzi, hii inaweza kuwa ni aina gani ya simu?

Mr Q

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
18,046
Reaction score
38,598
Hizo n screenshot kutoka kwenye series inayoitwa HANNA season ya pili, episode ya 7

Hiyo simu ilionekana nikaiscreenshot kama hivyo. Sasa naomba kama kunamtu kwa huo muonekano anaweza kuitambua anipe jawabu

Natanguliza shukrani

 
Ngoja wajuvi waje. Lakini mkuu simu zetu hizi za smartphone si unaweza kubadili muonekano kwa kutumia theme? Tuambie kwanza nini umeona cha tofauti sana hadi ukaona simu hiyo ni ngeni kwako.
 
Ngoja wajuvi waje. Lakini mkuu simu zetu hizi za smartphone si unaweza kubadili muonekano kwa kutumia theme? Tuambie kwanza nini umeona cha tofauti sana hadi ukaona simu hiyo ni ngeni kwako.
Ukubwa wa screen na jinsi ilivyokua ina respond. So fast
 
Sasa unaweka screen shot za screen ya simu badala ya jina?

Ukiambiwa Ni tecno au infinix utasemaje?
Your not a good informer!
Jina ndilo ninalotafuta nikiambiwa ni tecno labda tuseme phantom nitaingia google au youtube kuicheki
 
Ukubwa wa screen na jinsi ilivyokua ina respond. So fast
Kumbuka sisi tunaona picha hapa mkuu. Weka video fupi tuone kuelewa unachotaka kumaanisha sababu picha ulizoweka zinaonekana za kawaida.
 
Kumbuka sisi tunaona picha hapa mkuu. Weka video fupi tuone kuelewa unachotaka kumaanisha sababu picha ulizoweka zinaonekana za kawaida.
Okay japo kwa bahat mbaya hiyo episode nimesha ifuta ngoja nijaribu kuona cha kufanya
 
Okay japo kwa bahat mbaya hiyo episode nimesha ifuta ngoja nijaribu kuona cha kufanya
Angalia picha zinavyoonekana. Hapo hata simu ya tecno ninayotumia inaweza kuonekana hivyo kwa kupambwa na theme, applications na kukuzwa na camera iliyoipiga picha hiyo simu
 

Attachments

  • Screenshot_20200706-213421.png
    128.5 KB · Views: 2
Angalia picha zinavyoonekana. Hapo hata simu ya tecno ninayotumia inaweza kuonekana hivyo kwa kupambwa na theme, applications na kukuzwa na camera iliyoipiga picha hiyo simu
Nimekupata vyema kabisa nikipata hiyo episode nitai trim niweke kipande kidogo hapa shukran
 
Nadhani ukisearch ni simu gani huyo character katumia kwenye scene husika nadhani watakuwekea kama unaweza kuwekewa aina ya siraha, magari nk vilivyotumika sidhani kama simu itashindikana
It seems njia yako inaweza kuleta majibu ngoja niendelee
 
Kwa ile picha.zile ni themes au launcher ambazo watu tunaweka kwenye simu.
hii yangu ni android lakini naitumia mfanobwa iphone kama unavyoona na hiyo picha iliyoandikwa apply mwisho kati kati ni sehemu tunayodownload hizo icon,wallpaper au theme za simu.
hebu angàlia muonekano wa nyuma au mengineyo kutaka kyifahamu hiyo simu.
 
Hizo n screenshot kutoka kwenye series inayoitwa HANNA season ya pili episode ya 7

Hiyo simu ilionekana nikaiscreenshot kama hivyo. Sasa naomba kama kunamtu kwa huo muonekano anaweza kuitambua anipe jawabu

Natanguliza shukrani
mkuu kuna kitu kinaitwa product replacement kwenye movie ama series, kampuni kama Samsung ama Apple wanalipa hela halafu vifaa vyao vinaoneshwa. ila ikitokea hakuna mtu aliejitokeza kulipia hio scene basi hawa jamaa wanatumia njia nyingi kuhakikisha wewe haujui ni simu gani (hakuna matangazo ya bure bure).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…